Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba, 2013
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Mandela aaga dunia akiwa na umri wa miaka 95 Nelson Mandela pamoja na mkewe, Winnie, wakiwapungia mkono watu walojitokeza kumpokea alipoachiwa huru kutoka jela ya Victor Verster hapo Februari 11, 1990. Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza Ijumaa usiku kwamba rais wa zamani mpinzani mkuu wa ubaguzi wa rangi Madiba Nelson Mandela amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu. Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza Ijumaa usiku kwamba rais wa zamani mpinzani mkuu wa ubaguzi wa rangi Madiba Nelson Mandela amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu. Akilihutubia taifa Rais Zuma alisema "Taifa letu limempoteza mwana wake mkuu shujaa. watu wetu wamempoteza baba yao" Mandela alikuwa rais wa Kwanza muafrika kuchukua madaraka kutoka kwa utawala wa ubaguzi wa rangi kutoka kwa wazungu walowachache 1994. Kwa wengi alikua shujaa, mtu shupavu na mwenye mtizamo. Mara kwa mara alikuwa mnyen...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Masuala ya Jamii Ripoti ya Ufaransa: Arafat hakufa kwa sumu Uchunguzi uliofanywa na wanasayansi wa Ufaransa kuhusu kifo cha kiongozi wa zamani wa Palestina, Yasser Arafat, umeonyesha kuwa kiongozi huyo hakufa kutokana na sumu ya Polonium, bali alikufa kifo cha kawaida. Marehemu Yasser Arafat Kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi wa wanasayansi hao, vipimo vimeonyesha kuwa Arafat alikufa kutokana na uzee baada ya kupata maambukizi na sio kutokana na sumu ya polonium, ingawa wamesema kulikuwa na ishara za plotunium. Matokeo hayo yanatofautiana na ripoti iliyotolewa awali na maabara moja ya Uswisi, iliyoeleza kuwa Arafat alikufa kutokana na kiwango kikubwa cha sumu ya polonium, baada ya kuigundua sumu hiyo kwenye nguo zake. Ripoti hiyo ya Ufaransa imepingwa vikali na mke wa Arafat, Suha Arafat, ambaye amesema kifo cha mumewe kilikuwa ni mauaji ya kisiasa yaliyofanywa na mtu wake wa karibu. Akizungumza mjini Paris, Suha amesema ameshangazwa na taarifa zinazokinzana ku...