WHO UJUMBE -CHINA
WHO UJUMBE -CHINA Uchunguzi uliosubiriwa kwa muda mrefu ili kujua kiini cha Virusi vya Corona ,Wuhan,China utaziduliwa hivi karibuni. Hii ni kufuatia tanngazo kuwa Wanasayansi kumi wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) watatembelea Uchina kutoka Alhamisi. Hii inakuja zaidi ya mwaka mmoja baada ya janga hilo kuanza. Kumekuwa na mashtaka kwamba Beijing imejaribu kuzuia uchunguzikufanyika. Uchunguzi huu utakuwa muhumi ili kupata uvumbuzi wa chanzo cha janga la coronavirus ambalo limeharibu ulimwengu, na kusababisha vifo vya watu milioni mbili, na pia kupelekea kuzorota kwa uchumi wa ulimwengu. Ujumbe wa WHO utafanya utafiti wa pamoja na wanasayansi wa China juu ya asili ya Covid-19. Hapo awali, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus alikemea namna China ilikuwa ina chelewesha Kuingia nchini kwa dakika ya mwisho ujumbe wake mapema mwezi. Haya hivyo,Wataalam wa WHO watalazimika kujitenga kwa wiki mbili baada ya kuwasili,Beijing.baadaye, wanatarajiwa kutembele...