Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2022

menstral day

  kesho ni siku ya kimataifa ya hedhi duniani . siku hii inaadhimishwa wakati kukiwa na changamoto chungu nzima hasa la ukosefu wa taulo za hedhi.Swala la hedhi linachukuliwa na jamii kuwa ni jambo ambalo halistahili kujadiliwa kwa uwazi.Pia tamaduni za kiafrika liliona kama ni mwiko kwa mwanamke aliyenahedhi kutangamana na wengine,na kuonekana kama mchafu.hivyo basi wasichana wanapovunja ungo wanaona haya kuzungumza na pia changamaoto jinzi ya kuzipata taulo.Wasichana wengi wanaostahili kuwa shuleni hupotesa muda mwingi nyumbani kila mwezi kutokana na hedhi.pia wanatumia njia ambazo sio salama kujizua wanapokuwa kwenye hedhi.Mashirika ya kijamii yamejitokeza kutoa pedi shuleni ilikuhakikisha wasichana hawakosi huhudhuria masomo,pia elimu kuhusu usafi na hedhi inatolewa. Unyanyapa au kutengwa   wakati wa hedhi pia ni changamoto kwa wanafunzi wengi   na ni muhimu kuelimisha jamii kuwa hili ni jambo la kawaida na halina aibu. Wasichana wanapokosa hela ya kununua ped...

Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus-WHO

Picha
Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus ateuliwa kuhudumu kwa muhula wa pili. Nchi Wanachama wa Shirika la Afaya Duniani(WHO) zimemchagua tena Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus kuhudumu kwa muhula wa pili wa miaka mitano kama Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo. Dk Tedros alichaguliwa kwa mara ya kwanza mnamo 2017.Kuchaguliwa kwake tena kulithibitishwa wakati wa Mkutano wa 75 wa Afya Ulimwenguni huko Geneva,apolikuwa mgombea pekee.  Dk Tedros akiongea baadaya ya uchanguzi huo,alisema anmefurahi kupewa fursa nyingine kudumu kama Mkurugenzi mkuu wa WHO.Alisema atatekeleza majukumu yake kama inavyohitajika,kushirikiana na mataifa wnanachama,hata kama changamoto ni nyingi. Shirika la afya duniani hushirikiana na nchi wanachama na pia washirika na wadhamini   , ili kuhakikisha dhamira yake ya kuendeleza maswala ya afya, kuhakiki dunia ni salama na kuwahudumia walio hatarini. Uchanguzi huu unakuja baadaya ya   uchaguzi ulioanza Aprili 2021 wakati Nchi Wanachama zilialikwa kuwasilisha mape...