menstral day
kesho ni siku ya kimataifa ya hedhi duniani . siku hii inaadhimishwa wakati kukiwa na changamoto chungu nzima hasa la ukosefu wa taulo za hedhi.Swala la hedhi linachukuliwa na jamii kuwa ni jambo ambalo halistahili kujadiliwa kwa uwazi.Pia tamaduni za kiafrika liliona kama ni mwiko kwa mwanamke aliyenahedhi kutangamana na wengine,na kuonekana kama mchafu.hivyo basi wasichana wanapovunja ungo wanaona haya kuzungumza na pia changamaoto jinzi ya kuzipata taulo.Wasichana wengi wanaostahili kuwa shuleni hupotesa muda mwingi nyumbani kila mwezi kutokana na hedhi.pia wanatumia njia ambazo sio salama kujizua wanapokuwa kwenye hedhi.Mashirika ya kijamii yamejitokeza kutoa pedi shuleni ilikuhakikisha wasichana hawakosi huhudhuria masomo,pia elimu kuhusu usafi na hedhi inatolewa. Unyanyapa au kutengwa wakati wa hedhi pia ni changamoto kwa wanafunzi wengi na ni muhimu kuelimisha jamii kuwa hili ni jambo la kawaida na halina aibu. Wasichana wanapokosa hela ya kununua ped...