Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2014

fistula Kenyatta National Hospital

Picha
Ugonjwa wa fistula umekuwa ni kero kwa akina mama wanaokubwa na hali hii.  Habari njema ni Kwamba wanaougua fistula sasa wana sababu ya kutabasamu. Hospitality kuu ya kitaifa ya Kenyatta kwa ushirikiano na wadau wengine katika sekta ya afya wametangaza kuwa kuanzia tarehe 4-18 Julai mwaka Huu watatoa matibabu ya bure kwa wote. Huduma hii inatolewa bila malipo ilikumrudishia hadhi mwanamke anaye baguliwa, kukejeliwa na kuteswa na jamii kufuatia Hali yake. Baadhi ya akinaHabari mama ambao wamefaidika kupitia Huduma hii wanasema wamezaliwa upya na wanasababu  ya kuishi tena. Kuna wengine ambao wamejiua kufuatia unyanyapa na kutekelezwa na jamii. je fistula ni nini? Tundu kwenye mango was uzazi.  Tundu hili linaweza kutokea kati ya uke na njia ya haja kubwa au kati ya kibofu na uke baada ya mama kushindwa kujifungua au kutumia muda mrefu kujifungua. Pia kunajisiwa kunaweza kusababisha hali hii.Matokeo yake ni kwamba wanawake wenye fistula hujikuta katika matatiz...