Jumatatu, 28 Novemba 2016
TB
Tanzania imepiga hatua mbele, kwa kubuni mbinu ya kuukabili ugonjwa wa kifua kikuu, kwa kuzindua MAABARA jijini Dar es salaam. Mradi huu utakua chini ya usimamizi wa chuo kikuu cha Kilimo cha Sokoine.
Ubunifu huu utafanywa kwa kutumia panya buku kupima sampuli za ugonjwa wa kifua kikuu (TB).Inaaminika panya mmoja ana uwezo wa kupima sampuli Mia moja katika muda wa dakika ishirini.
Hatua hii imefanyika huku kukiwa na ongezeko la idadi ya wagonjwa wa kifua kikuu Tanzania.
Tanzania ni miongoni nchi barani Afrika zenye maambukizi ya juu ya ugonjwa huo na kutumia njia hii katika kupambana na ugonjwa huu itakuwa ni afueni.
Wataalamu wanasema kuwa njia ya hapo awali ilitoa uhakika wa sampuli kwa asilimia 20 hadi 60 huko asilimia 40 hawagunduliki na hivyo kuendelea kuambukiza wengine.
Daktari Georgies Mgode anasema mradi huo wa kupima vimelea vya kifua kikuu utakutumia panya waliofunzwa.
Dk.Mgode, ambaye pia ni meneja wa mradi huu, anafafanua kuwa panya hao wana uwezo wa kubaini harufu ya vimelea vya ugonjwa huo ndani ya sekunde.
Aidha, alisema mbinu hii itakuwa mwafaka kwa wagonjwa na watafiti pia. Ishitoshe, muda utapunguka. Hapo awali kupima sampuli 100 kwa maabara zinazotumia hadubini kulichukua muda wa sikuu nne.Lakini sasa mgonjwa atapata majibu ndani ya siku moja na kuanza tiba.
“Ni kweli hawa panya wana faida kubwa kwenye ugunduzi wa vimelea vya ugonjwa wa TB, kwa sababu wana uwezo ndani ya sekunde wakabaini maambukizi ya kwa mgonjwa wakati mtu wa maabara anatumia zaidi ya siku moja kupata majibu,” alieleza Dk Mgode.
Alisema maabara nyingine ya panya buku iko mjini Morogoro ambayo hutumika kupima sampuli mbalimbali kutoka hospitali 28 nchini. Tangu mradi huo uanze kazi mwaka 2008 zaidi ya sampuli 380,000 zimeshapimwa.
Mwakilishi kutoka Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Kifua Kikuu na Ukoma (NTLP), Dk Allan Tarimo alisema Tanzania ni moja ya nchi zenye maambukizi ya juu ya ugonjwa wa kifua kikuu barani Afrika ikiorodheshwa ya nne huku kimataifa ikiwa nafasi ya sita.
Hakika hii ni hatua kubwa ya kuokoa maisha ya wagonjwa na kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo ambao ni changamoto Tanzania.
Kinaya ni kuwa Shirika la Afya Duniani (WHO)) linasema, kwa siku moja mtaalamu wa maabara anatakiwa kupima wagonjwa 20 tu wa kifua kikuu.
Jumatano, 23 Novemba 2016
Vasectomy
Uzazi mpango
Huku maisha yakiwa magumu Barani Afrika hususan Kenya, kuna haja yakufanya uzazi mpango ili kuweza kukimu mahitaji ya kila siku.
Akina mama kwa muda mrefu ndiyo wenye majukumu ya kupanga uzazi Huku Akina baba wakijihuzisha n'a majukumu mengine.
Lakini mambo imechukua mwelekeo mpya Huku wanaume wakiamua kupanga uzazi pia.
Haya majukumu ni ya kila mmoja, n'a ni vema kushirikiana wake kwa waume.
Hii imepelekea wanaume kutafuta njia za kupanga uzazi.
Njia mojawapo ya hizo ni ile ya vasectomy; kufunga mirija unaotoa mbegu za kiume.
Hii ni njia ya kudumu ya kupanga uzazi.
Ni majuzi tu ambapo siku ya kuadhimisha uzazi mango wa vasectomy nchini Kenya n'a pia kote duniani.
Nchini ya Kenya ilichukua fursa Hii kuelimisha jamii umuhimu wa wanaume kupanga uzazi.
Kadili ya wanaume hamsini walijitokeza kufajiwa upasuaji kubana mirija yao.
Hupasuaji huchukua muda wa nusu saa.
Hata hivyo kuna baadhi ya wanaume wanaokosoa shughuli Hii wakisema Hii ni tabia ambapo haiabatani na destuli za kiafrika.
Wanasema haya ni mambo ya kizungu ambayo yanafaa kupakia na wazungu tu.
Wengine nao wanatoa maoni tofauti.
Wanaonelea ni vema kupanga uzazi wa vasectomy kwani unasaidia kupunguza majukumu, huku watoto wachache wakipata mahitaji yao bila shinda yeyote.
Wanasema ni vema wanaume kuwasaidia wake wao kupanga familia.
Uchumi umezorota, watoto na jamaa kwa jumla wana mahitaji mengi .Wasipopanga uzazi basi wazazi watakuwa wanawaacha watoto wao kuumia.
Jambo muhimu la kufahamu ni kuwa njia hii;
*Haipunguzi hamu ya kufanya ngono
*Haizuii maambukizi ya magonjwa ya zinaa.Hivyo basis ni vema kuchukua tahathali.
*Hali hii ni ya kudumu.Haitawezekana tena kupata watoto baada ya operesheni.
Huku maisha yakiwa magumu Barani Afrika hususan Kenya, kuna haja yakufanya uzazi mpango ili kuweza kukimu mahitaji ya kila siku.
Akina mama kwa muda mrefu ndiyo wenye majukumu ya kupanga uzazi Huku Akina baba wakijihuzisha n'a majukumu mengine.
Lakini mambo imechukua mwelekeo mpya Huku wanaume wakiamua kupanga uzazi pia.
Haya majukumu ni ya kila mmoja, n'a ni vema kushirikiana wake kwa waume.
Hii imepelekea wanaume kutafuta njia za kupanga uzazi.
Njia mojawapo ya hizo ni ile ya vasectomy; kufunga mirija unaotoa mbegu za kiume.
Hii ni njia ya kudumu ya kupanga uzazi.
Ni majuzi tu ambapo siku ya kuadhimisha uzazi mango wa vasectomy nchini Kenya n'a pia kote duniani.
Nchini ya Kenya ilichukua fursa Hii kuelimisha jamii umuhimu wa wanaume kupanga uzazi.
Kadili ya wanaume hamsini walijitokeza kufajiwa upasuaji kubana mirija yao.
Hupasuaji huchukua muda wa nusu saa.
Hata hivyo kuna baadhi ya wanaume wanaokosoa shughuli Hii wakisema Hii ni tabia ambapo haiabatani na destuli za kiafrika.
Wanasema haya ni mambo ya kizungu ambayo yanafaa kupakia na wazungu tu.
Wengine nao wanatoa maoni tofauti.
Wanaonelea ni vema kupanga uzazi wa vasectomy kwani unasaidia kupunguza majukumu, huku watoto wachache wakipata mahitaji yao bila shinda yeyote.
Wanasema ni vema wanaume kuwasaidia wake wao kupanga familia.
Uchumi umezorota, watoto na jamaa kwa jumla wana mahitaji mengi .Wasipopanga uzazi basi wazazi watakuwa wanawaacha watoto wao kuumia.
Jambo muhimu la kufahamu ni kuwa njia hii;
*Haipunguzi hamu ya kufanya ngono
*Haizuii maambukizi ya magonjwa ya zinaa.Hivyo basis ni vema kuchukua tahathali.
*Hali hii ni ya kudumu.Haitawezekana tena kupata watoto baada ya operesheni.
Jumatano, 16 Novemba 2016
Conjoined twins -Kenya
Wataalamu katika hospitali kuu ya Kenyatta wamefanikiwa kuwatenganisha watoto mapacha walioshikamana kwenye sehemu ya mgongo.
Hiyo jana hospitali Hiyo ilitoa picha za watoto hao wakionana ana kwa ana kwa mara ya Kwanza.
Ufanishi huu umetokea baada ya miaka miwili tangu kuzaliwa kwao.
Pia huu ni upasuaji wa kipekee kuwahi fanyika nchini Kenya.
Ilichukua muda na mpangilio wa hali ya juu kukusanya kundi la madaktari wenye ustadi katika maswala tofauti ya kiafya.
Watoto hawa walizaliwa na tatizo la kiafya ambalo kulitatua kwa haraka lingehatarisha maisha yao.
Hâta hivyo, kulikuwa na matumaini kuwa mafanikio ya kuwatenganisha yangepatikana.
Watoto Blessing na Favor walizaliwa miaka miwili iliyopita katika hospitali ya Mtakatifu Theresa, Kiirua katika Jimbo la Meru.
Baadaya ya madaktari kushindwa kutatua hali yao kutokana na ukosefu wa vifaa au mashine za kisasa, walitoa rufaa hadi Hospitali kuu ya Kenyatta, Nairobi.
Daktari aliyeongoza upashuaji huu ni mashuhuri nchini Kenya kwa matibabu ya watoto.
Daktari Fred Kabuni, alisema ilichukua Masaaki ishirini n'a moja kufanya upashuaji huu.
Madaktari wengine walohusika ni mashuhuri katika taaluma tofauti ya kiafya.
Wakenya walipongeza juhudi za wataalamu wa maswala tofauti ya kiafya waliojitolea kutekeleza shughuli hii ya kipekee.
Kathoni Kiama alisema"hii ni habari njema kwa Wakenya wote, kuona Kuwait madakari wetu wanawatenganisha watoto hawa.
Weru Kihiko anasema madakari wetu hongera kwenu."tunao madakari stadi lakini vifaa vya matibabu ni adimu.
Wafula David anasema madakari wetu wanajitolea lakini wanagoma kil a mara kutikana na mishahara duni. Ni heri selikali ingechukua hatua ya kuwalipa kulingana na kujitolea kuokoa maisha.
Ufanishi huu unatokea huku wizara ya afya ikidaiwa kuvuja mamilioni ya pesa kwenye kafsha ya ufisadi.
Daktari aliyeongoza upashuaji huu ni mashuhuri nchini Kenya kwa matibabu ya watoto.
Daktari Fred Kabuni, alisema ilichukua Masaaki ishirini n'a moja kufanya upashuaji huu.
Madaktari wengine walohusika ni mashuhuri katika taaluma tofauti ya kiafya.
Wakenya walipongeza juhudi za wataalamu wa maswala tofauti ya kiafya waliojitolea kutekeleza shughuli hii ya kipekee.
Kathoni Kiama alisema"hii ni habari njema kwa Wakenya wote, kuona Kuwait madakari wetu wanawatenganisha watoto hawa.
Weru Kihiko anasema madakari wetu hongera kwenu."tunao madakari stadi lakini vifaa vya matibabu ni adimu.
Wafula David anasema madakari wetu wanajitolea lakini wanagoma kil a mara kutikana na mishahara duni. Ni heri selikali ingechukua hatua ya kuwalipa kulingana na kujitolea kuokoa maisha.
Ufanishi huu unatokea huku wizara ya afya ikidaiwa kuvuja mamilioni ya pesa kwenye kafsha ya ufisadi.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)