Wataalamu katika hospitali kuu ya Kenyatta wamefanikiwa kuwatenganisha watoto mapacha walioshikamana kwenye sehemu ya mgongo.
Hiyo jana hospitali Hiyo ilitoa picha za watoto hao wakionana ana kwa ana kwa mara ya Kwanza.
Ufanishi huu umetokea baada ya miaka miwili tangu kuzaliwa kwao.
Pia huu ni upasuaji wa kipekee kuwahi fanyika nchini Kenya.
Ilichukua muda na mpangilio wa hali ya juu kukusanya kundi la madaktari wenye ustadi katika maswala tofauti ya kiafya.
Watoto hawa walizaliwa na tatizo la kiafya ambalo kulitatua kwa haraka lingehatarisha maisha yao.
Hâta hivyo, kulikuwa na matumaini kuwa mafanikio ya kuwatenganisha yangepatikana.
Watoto Blessing na Favor walizaliwa miaka miwili iliyopita katika hospitali ya Mtakatifu Theresa, Kiirua katika Jimbo la Meru.
Baadaya ya madaktari kushindwa kutatua hali yao kutokana na ukosefu wa vifaa au mashine za kisasa, walitoa rufaa hadi Hospitali kuu ya Kenyatta, Nairobi.
Daktari aliyeongoza upashuaji huu ni mashuhuri nchini Kenya kwa matibabu ya watoto.
Daktari Fred Kabuni, alisema ilichukua Masaaki ishirini n'a moja kufanya upashuaji huu.
Madaktari wengine walohusika ni mashuhuri katika taaluma tofauti ya kiafya.
Wakenya walipongeza juhudi za wataalamu wa maswala tofauti ya kiafya waliojitolea kutekeleza shughuli hii ya kipekee.
Kathoni Kiama alisema"hii ni habari njema kwa Wakenya wote, kuona Kuwait madakari wetu wanawatenganisha watoto hawa.
Weru Kihiko anasema madakari wetu hongera kwenu."tunao madakari stadi lakini vifaa vya matibabu ni adimu.
Wafula David anasema madakari wetu wanajitolea lakini wanagoma kil a mara kutikana na mishahara duni. Ni heri selikali ingechukua hatua ya kuwalipa kulingana na kujitolea kuokoa maisha.
Ufanishi huu unatokea huku wizara ya afya ikidaiwa kuvuja mamilioni ya pesa kwenye kafsha ya ufisadi.
Daktari aliyeongoza upashuaji huu ni mashuhuri nchini Kenya kwa matibabu ya watoto.
Daktari Fred Kabuni, alisema ilichukua Masaaki ishirini n'a moja kufanya upashuaji huu.
Madaktari wengine walohusika ni mashuhuri katika taaluma tofauti ya kiafya.
Wakenya walipongeza juhudi za wataalamu wa maswala tofauti ya kiafya waliojitolea kutekeleza shughuli hii ya kipekee.
Kathoni Kiama alisema"hii ni habari njema kwa Wakenya wote, kuona Kuwait madakari wetu wanawatenganisha watoto hawa.
Weru Kihiko anasema madakari wetu hongera kwenu."tunao madakari stadi lakini vifaa vya matibabu ni adimu.
Wafula David anasema madakari wetu wanajitolea lakini wanagoma kil a mara kutikana na mishahara duni. Ni heri selikali ingechukua hatua ya kuwalipa kulingana na kujitolea kuokoa maisha.
Ufanishi huu unatokea huku wizara ya afya ikidaiwa kuvuja mamilioni ya pesa kwenye kafsha ya ufisadi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni