Alhamisi, 1 Desemba 2016

Aids vaccine


Leo ni siku ya Ukimwi Duniani.
Maadhimisho haya yanakuja wakati  ufanisi kukabiliana na janga la Ukimwi ukichukua mwelekeo mwafaka.

Hii ni kufuatia tangazo kuwa Afrika Kusini inafanya majaribio chanjo mpya dhidi ya virusi vinavosababisha Ukimwi.
Endapo itapata mafanikio, chanjo Hii itawezesha waadhiriwa wa ugonjwa huu, kukabiliana na makali ya virusi (VVU).

Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii.

Wanasayansi matumaini majaribio hayo, yanayojulikana kama  HVTN 702, yatazinduliwa  kwa kuwatumia wanaume na wanawake 5,400 ambao wanaojamiiana kutoka maeneo 15 nchini Afrika Kusini.Wagonjwa watakaoshiriki katika chanson hiyo wanapashwa kuwa n'a umri  wa kati ya miaka 18 na 35.

Hata hivyo kuna watu wanao sema kuwa chanson hii ina faida na hasara pia.
Itawasaidia wagonjwa wa Ukimwi huku wengine wakiamua kufanya ngono kihorera.

Pia Hii chanjo itakuwa na madhara kwa mwili kama vile;
Vipele , kizunguzungu na maumivu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni