Saratani tezi Huku ukiwa mwezi wa kupambana na janga la ugonjwa wa saratani,watu wengi hawapendi kwenda hospitalini kwa uchunguzi,huku wakihofia kugunduliwa na maradhi ya saratani. Hii ni baadhi ya sababu zinazopelekea ongezeko la saratani nchini kenya na kanda la afrika kwa jumla. Inakisiwa kuwa zaidi ya watu elfu moja(1,000) huugua saratani huku zaidi ya 850 wakifariki kila mwaka. Takwimu pia zinaonyesha idadi ya saratani ya tezi kibofu inaongezeka marudufu. Saratani ya tezi kibofu ni ugonjwa ambao huwa kati ya wanaume.kama aina nyingine za saratani, inapogunduliwa mapema inakuwa ni rahisi kutibiwa. Zaidi ya hayo, walio hatarini ya kuambukizwa Ugonjwa huu ni wanaume walio na umri wa miaka 55 na zaidi. Kulingana na watalaamu wa afya watu wengi hutafuta tiba wakati ugojwa umeenea zaidi. Hivi majuzi, ugonjwa wa saratani umetia wengi kiwewe.Siku baada ya siku kuna habari kuwa mtu fulani ana ugonjwa wa saratani.Waume kwa ...
Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2013
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
The 2013 International Conference on Family Planning: Katika juhudi za kuboresha afya ya akina mama,shirika la mpango uzazi duniani litafanya Mkutano wa Mpango uzazi nchini Ethiopia mwezi wa Novemba mwaka huu. Mkutano huu unafanyika huku karibu watu millioni 900 kote duniani wakikumbatia uzazi wa mpango. Hata hivyo, sio wote wanaoweza kufanya uzazi wa mpango wakati wanapotaka kufuatia changamoto kadha wa kadha. Mkutano huu utawajumuisha watafiti wa afya,madaktari na wadau wengine katika sekta ya afya. Inaaminika kuwa wazazi wengi ambao wangependa kupanga uzazi wanasubuka sana.Hata kabla wapate huduma hiyo muhimu wanagundua kuwa ni wajawazito.Idadi ya wanandoa walio kwenye hali hii ni zaidi ya millioni 215 kote duniani. Uzazi wa mpango u nawezesha wanandoa kufanya maamuzi ya uzazi na ni moja ya njia ya gharama nafuu kwa ajili ya kuboresha afya ya familia. Kilingana na takwimu za shir...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Afya mazingira saratani ya shingo ya uzazi (Cervical cancer) Huku dunia ikiendelea kuadhimisha mwezi wa saratani duniani,idadi ya wanawake wanaoendelea kufariki kutokana na saratani ya shingo ya uzazi inazidi kuongezeka. Aina hii ya saratani inasababisha vifo vya wanawake wengi nchi Kenya na duniani kwa ujumla. katika shughuli zangu za kutafuta habari kuhusu ugonjwa wa saratani,nilipata fursa ya kuwahoji baadhi ya akina mama waadhiriwa na pia waliopona baada ya muda mrefu wa matibabu. Mama Muthoni Kimani anasema alipona kutokana na ugonjwa huu kugunduliwa mapema,ijapokuwa aina ya matibabu na pia gharama ni ghali mno. Wetende Ruth anasema kuwa angali anapokea matibabu na hakika ana imani atapoka.Jambo la muhimu ni kujipa moyo,anadokea watende. "kab...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Mwezi wa Oktober ni mwezi wa kuelimisha umma jinsi ya kupambana na ugonjwa hatari wa saratani hususan ile ya matiti. Hata hivyo juhudu za kupambana na saratani haziridhishi kutokana na ukosefu wa vifaa vya kugundua na kuutibu. Baadhi ya wakenya wamelalamika kuwa vifaa duni katika hospitali za umma kunachangia ongezeko la idadi ya wanaofariki kila siku kutokana na saratani. Pia,Upungufu wa watalaamu wa saratani huku baadhi yao kukikimbilia hospitali za binafsi ambapo wanapata mishahara yakulidhisha. Hivyo basi ni jukumu la serikali kuhakikisha kuna vifaa vya kisasa.Na kuongeza mishahara kwa watalaamu wa afya. Kwa sasa,idadi kubwa ya wakenya hutafuta matibabu ya saratani nchini India ambapo ghalama ya matibabu ni nafuu. Hata hivyo, sio kila mtu au jamaa inaweza kugharamia matibabu ya saratani India. Ni jukumu ya serikali kuhakikisha kuwa wanachi hawafariki kutokana na ugonjwa huu kwa sababu ya gharama au musongamano wa wangonjwa unaopelekewa na upungufu wa v...