Jerry Okungu afariki
Ugonjwa hatari wa saratani umetupokonya mwandishi mashuhuriJerry Okungu.
Okungu alifariki katika hospitali ya MP Shah,Nairobi alipokuwa akipokea matibabu.
Alikuwa akiugua saratani ya tezi kibofu,
.
Mola ailaze roho yake mahari pema peponi.
Maoni
Chapisha Maoni