Josephine Nyambura aaga duniani cancer
Maoni Ugonjwa wa saratani waendelea kukusababisha maafa. Idadi ya wanaofariki kufuatia maradhi hayo yanaongezaka kila kuchao. Ni hali ya kuhuzunisha kuona kuwa Wasio na uwezo wa kugharamia matibabu ndio wanaoadhirika zaidi. Ni jukumu la serikali kutafuta mikakati ku ona kwamba watu wote wanapata matibabu bila vikwazo vyovyote. Huduma ya bima ya kitaifa inapashwa pia kusaidia wenye uwezo wa kulipa malipo ya kila mwezi na pia wasioweza. Malkia Josephine Nyambura aaga duniani . Mtoto wa miaka nne ambaye hivi majuzi alikosa kupata matibabu ya ugonjwa wa saratani kufuatia matatizo ya kifedha yaliyoikuba familia yake aaga duniani. Malkia Josephine Nyambura alinyimwa matibabu na madaktari nchini India na kwa kuwa hali yake ilikuwa hatarini wawazi wake wakamrejesha nchini Kenya katika hospitali kuu ya Kenyatta ambayo pia Imekuwa na upungufu wa mashine za saratani. Hali yake ilizorota baadaye huku mwili wake kufula. Saratani ya damu aliy...