Jumatano, 13 Novemba 2019

kongamano laicpd 25



Uhuru Kenyatta welcomes delegates at the Summit's opening. © Nairobi Summit


Rais uhuru Kenyatta afungua rasmi Kongamano la idadi ya watu na maendeleo ICPD25 jiji Nairobi .
Rais amehakikisha kuwa serikali ya Kenya itaweka mikakati ya kuhakikisha kuwa swala la ukeketaji wa wanawake limekabiliwa .

Pia ametaka mataifa menginekuhakikisha haki za wanawake na jamii zinaheshimiwa.
Upashaji tohara nchi na pia barani Afrika imekuwa ikiendelea licha ya hatua kali za kisheria dhidi ya wahusika.

Kulingana na tafiti wanawake waliopashwa tohara wanakuwa  hatarini wanapojifungua huku wengine wakifariki wakati wa kujifungua.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni