Virusi vya Corona -WHO
Virusi vya Corona Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza Virusi vya Corona kama dharura ya afya duniani. Hii ni Kufuatia maafa ya kasi yanayotokea baada ya mripuko wa maradhi ya virusi vya Corona. Shirika la afya ulimwenguni, WHO hiyo jana lilifanya kikao cha kamati yake ya wataalamu ili kujadili swala la iwapo kuna uwezaekano kutangaza mripuko wa virusi vya Corona kama dharura ya afya duniani. Kamati ya wataalamu Picha(WHO) watu zaidi ya 170 tayari wamefariki na zaidi ya wengine elfu saba kuambukizwa tangu ulipotambuliwa mara ya kwanza jijini Wuhan, nchini China mwishoni mwa mwezi desemba ,mwaka wa 2019. Mkutano huu ni watata kufanyika wiki hii . Mkurugenzi mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Gebreyesus,akiadamana na watalam wa afya alizuru Uchina ilikutaadhmini hali ilivyo.Dkt. Gebreyesus anasema kusambaa kwa virusi hivyo hadi nje ya China ni tisho ambalo linatia hofu. Virusi hivyo vinaenea kwa kasi na ku...