Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2020

Virusi vya Corona -WHO

Picha
Virusi vya Corona  Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza Virusi vya Corona kama dharura ya afya duniani. Hii ni Kufuatia maafa ya kasi yanayotokea baada ya   mripuko wa maradhi ya virusi vya Corona. Shirika la afya   ulimwenguni, WHO hiyo jana  lilifanya kikao cha kamati yake ya wataalamu  ili kujadili swala la iwapo kuna uwezaekano   kutangaza mripuko wa virusi vya Corona  kama dharura ya afya duniani. Kamati ya wataalamu Picha(WHO)   watu zaidi ya 170 tayari wamefariki na zaidi ya wengine   elfu saba kuambukizwa tangu ulipotambuliwa mara ya kwanza jijini Wuhan, nchini China mwishoni mwa mwezi desemba ,mwaka wa 2019. Mkutano huu ni watata kufanyika wiki hii . Mkurugenzi mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Gebreyesus,akiadamana na watalam wa afya alizuru Uchina ilikutaadhmini hali ilivyo.Dkt. Gebreyesus anasema kusambaa kwa virusi hivyo hadi nje ya China ni tisho ambalo linatia hofu. Virusi hivyo vinaenea kwa kasi na ku...

Corona Virusi

S erikali ya Kenya imetoa  tahadhari kubwa baada ya kesi ya virusi vya Corona kuripotiwa nchini China.   Kupitia Kaimu mkurugenzi mkuu wa Wizara ya Afya Patrick Amoth ,serikali imesema tahadhari imetangazwa kwenye majimbo yote 47 kupitia Baraza la Magavana na wakurugenzi wa kaunti ya afya. Pia ukaguzi na uthibiti umewekwa kwenye bandari na viwanja vya ndege nchini ili kukabiliana na hali hii.   Nchi ya Uchina ina uhusiano mkubwa wa kibiashara na Kenya,huku wanabiashara na viongozi wa nchi wakisafiri kwenye nchi hizi mbili kila siku.   "Kila siku, tunapata angalau ndege tatu hadi nne kwa hivyo tumeanza uchunguzi kwa abiria wote wanaokuja kutoka China," Amoth alisema. Coronaviruses kawaida huathiri njia ya kupumua ya wanadamu na inahusishwa na homa ya kawaida, pneumonia na ugonjwa wa kupumua kwa papo hapo. Dalili ni pamoja na homa, kukohoa na ugumu wa kupumua. Maambukizi ya virusi yanaweza kusababisha pneumonia   na virusi vinaweza kupitishwa kutoka ...