Virusi vya Corona
Shirika la Afya Duniani (WHO)
limetangaza Virusi vya Corona kama dharura ya afya duniani.
Hii ni Kufuatia maafa ya kasi yanayotokea baada ya mripuko wa maradhi ya virusi vya Corona.
Shirika la afya ulimwenguni, WHO hiyo jana lilifanya kikao cha kamati yake ya wataalamu ili kujadili swala la iwapo kuna uwezaekano kutangaza mripuko wa virusi vya Corona kama dharura ya afya duniani.
Shirika la afya ulimwenguni, WHO hiyo jana lilifanya kikao cha kamati yake ya wataalamu ili kujadili swala la iwapo kuna uwezaekano kutangaza mripuko wa virusi vya Corona kama dharura ya afya duniani.
Kamati ya wataalamu Picha(WHO) |
Mkurugenzi mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Gebreyesus,akiadamana
na watalam wa afya alizuru Uchina ilikutaadhmini hali ilivyo.Dkt. Gebreyesus anasema
kusambaa kwa virusi hivyo hadi nje ya China ni tisho ambalo linatia hofu.
Virusi hivyo vinaenea kwa kasi na kufikia sasa mataifa
mengi yameadhirika
Australia,Canada,Uchina,Ufaransa,Ugeremani,India,nepali,Korea
Kusini na Marekani ni baadhi ya nchi zinazokabiliana na Virusi hivyo.
Wiki jana,WHO ilidokeza kuwa bado janga hilo halijafika
kiwango cha kutangazwa dharura ya afya duniani.
Kulingana na wataalamu wa afya wanaohusika na tafiti
za tiba ,chanjo ya virusi vya Corona inakisiwa kuchukua Zaidi ya mwaka mmoja kukamilika.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni