Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2020

COVID -19 Kenya

Picha
Huku ugonjwa wa Virusi vya Corona –COVID-19 ukiendele kuenea kwa kasi nje ya uchina ,Serikali ya Kenya imelaumiwa kwa kuruhusu kuingia nchini watu   239   warioabiri ndege ya Uchina. Inadaiwa kuwa abiria hao   walitakiwa wasikaribiane au wajitenge na watu kwa muda furani kama tahadhari dhidi ya kuambukiza wa Virusi vya Corona . Hata hivyo kuna hofu kuwa huenda kunauwezekano kuwa mmoja au zaidi ya abiria wakawa na virusi hivyo ambavyo huchukua wiki kabla dhariri zake kuibuka. Ugonjwa huu umewauwa maelfu ya watu nchini uchina na pia mataifa mengine nje ya Uchina yameadhirika. Uchina umekuwa kitovu cha virusi, na kufikia sasa watu 81,291wameambukizwa vurisi hivi ulimwenguni kote na kuwauwa 2,770, wengi wao wakiwa katika taifa la Asia. Virusi vya Corona ambao umepewa jina rasmi Covid-19, mara nyingi huenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mtu. Serikali kwa upande wake imesema hakuna haja ya kuhofia maambukizi kwani mikakati dhabiti imewekwa kuhakikisha hakuna mtu ataka...
Picha
Rais Mstaafu Daniel T Moi Aaga Dunia Rais  mstaafu Daniel  Arap Moi ameaga dunia . Mzee Moi  ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 95 katika hospitali ya Nairobi alipokuwa amelazwa tangu mwezi wa kumi mwaka jana. Kundi la madaktari likiongozwa na Daktari wake wa miaka mingi, David Silverstein limekuwa likimpa mkatibabu kwa matatizo yanayojirejeeza na kumfanya kusalia kitandani kwa miezi mitatu. Hali ya afya ya mzee Moi ilidorola Mwezi uliopita huku  madaktari wake  wakilazimika kumrejesha Moi katika chumba cha wagonjwa mahututi. Kifo chake alfajiri ya leo kimetangazwa na Rais uhuru Kenyatta ambaye ni mwanafunzi na mwanawe wa kisiasaAwali,msemaji wake Lee Njiru  alisema Moi alikuwa amekwenda hospitali kwa ukaguzi wa kawaida wa afya lakini tangu wakati huo,amekuwa ndani nan je ya hospitali. Mzee Moi, alijeruhiwa kwenye  goti alipohusika kwa ajari  iliyohusisha gari lake mwaka wa 2...