endometrial cancer-Saratani ya uterazi
Saratani ya shingo ya uzazi bado ndiyo aina ya kansa ya uzazi inayoshababisha maafa ya akina mama z aidi nchini Kenya . Takwimu kutoka Kenya Cancer Registry zinaonyesha kwamba zaidi ya wanawake 5,200 hugunduliwa kuwa na saratani ta Uterine kila mwaka, na hiyo ni karibu asilimia 20 ya wanawake wote wanaopata ugonjwa huo . Ina sikitisha kuwa zaidi ya wanawake 3,200 hufa kila mwaka, hii ikiwa sababu kuu ya idadi kubwa ya vifo vinavyohusiana na saratani miongoni mwa wanawake, ya pili baada ya kansa ya matiti inayoongaza. Kulingana na w ataalamu wa afya saratani ya shingo ya uzazi inaweza kuzuiwa k wa uchunguzi wa kawaida na chanjo ya HPV , hii in aweza kupunguza visa vingi vya magonjwa haya, anasema Dk. Gladys Mugambi , afisa mwandamizi wa Wizara ya Afya . Mugambi anasema shughuli ya kutafuta chanjo na wagonjwa bado ni ya chini sana, hasa katika maeneo ya vijijini. kechelewa kutafuta tiba Mojawapo ya changamoto kubwa za Kenya ni ku...