Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia 2013
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Mandela aaga dunia akiwa na umri wa miaka 95 Nelson Mandela pamoja na mkewe, Winnie, wakiwapungia mkono watu walojitokeza kumpokea alipoachiwa huru kutoka jela ya Victor Verster hapo Februari 11, 1990. Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza Ijumaa usiku kwamba rais wa zamani mpinzani mkuu wa ubaguzi wa rangi Madiba Nelson Mandela amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu. Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ametangaza Ijumaa usiku kwamba rais wa zamani mpinzani mkuu wa ubaguzi wa rangi Madiba Nelson Mandela amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu. Akilihutubia taifa Rais Zuma alisema "Taifa letu limempoteza mwana wake mkuu shujaa. watu wetu wamempoteza baba yao" Mandela alikuwa rais wa Kwanza muafrika kuchukua madaraka kutoka kwa utawala wa ubaguzi wa rangi kutoka kwa wazungu walowachache 1994. Kwa wengi alikua shujaa, mtu shupavu na mwenye mtizamo. Mara kwa mara alikuwa mnyen...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Masuala ya Jamii Ripoti ya Ufaransa: Arafat hakufa kwa sumu Uchunguzi uliofanywa na wanasayansi wa Ufaransa kuhusu kifo cha kiongozi wa zamani wa Palestina, Yasser Arafat, umeonyesha kuwa kiongozi huyo hakufa kutokana na sumu ya Polonium, bali alikufa kifo cha kawaida. Marehemu Yasser Arafat Kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi wa wanasayansi hao, vipimo vimeonyesha kuwa Arafat alikufa kutokana na uzee baada ya kupata maambukizi na sio kutokana na sumu ya polonium, ingawa wamesema kulikuwa na ishara za plotunium. Matokeo hayo yanatofautiana na ripoti iliyotolewa awali na maabara moja ya Uswisi, iliyoeleza kuwa Arafat alikufa kutokana na kiwango kikubwa cha sumu ya polonium, baada ya kuigundua sumu hiyo kwenye nguo zake. Ripoti hiyo ya Ufaransa imepingwa vikali na mke wa Arafat, Suha Arafat, ambaye amesema kifo cha mumewe kilikuwa ni mauaji ya kisiasa yaliyofanywa na mtu wake wa karibu. Akizungumza mjini Paris, Suha amesema ameshangazwa na taarifa zinazokinzana ku...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Mpango mpya kuboresha huduma za uzazi wa kupanga baada ya kujifungua mimba: WHO Unyonyeshaji mtoto baada ya kujifungua ni mojawapo ya njia za uzazi wa mpango- WHO Shirika la Afya Duniani, WHO, limezindua mpango mpya wa kuboresha upatikanaji wa huduma za uzazi wa kupanga kwa akina mama katika miezi 12 ya kwanza baada ya kujifungua, ambao unawalenga wahudumu wa afya na watunga sera. Kwa mujibu wa WHO, mimba zinazokaribiana sana au zisizotarajiwa ni tishio la kiafya kwa mama na mtoto, na kwamba kuweka pengo la angaa miaka miwili kabla ya mimba nyingine kunaweza kuepusha asilimia 10 ya vifo vya utotoni na takriban kuepusha kifo kimoja kati ya vitano miongoni mwa watoto wenye umri kati ya mwaka mmoja had...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Saratani tezi Huku ukiwa mwezi wa kupambana na janga la ugonjwa wa saratani,watu wengi hawapendi kwenda hospitalini kwa uchunguzi,huku wakihofia kugunduliwa na maradhi ya saratani. Hii ni baadhi ya sababu zinazopelekea ongezeko la saratani nchini kenya na kanda la afrika kwa jumla. Inakisiwa kuwa zaidi ya watu elfu moja(1,000) huugua saratani huku zaidi ya 850 wakifariki kila mwaka. Takwimu pia zinaonyesha idadi ya saratani ya tezi kibofu inaongezeka marudufu. Saratani ya tezi kibofu ni ugonjwa ambao huwa kati ya wanaume.kama aina nyingine za saratani, inapogunduliwa mapema inakuwa ni rahisi kutibiwa. Zaidi ya hayo, walio hatarini ya kuambukizwa Ugonjwa huu ni wanaume walio na umri wa miaka 55 na zaidi. Kulingana na watalaamu wa afya watu wengi hutafuta tiba wakati ugojwa umeenea zaidi. Hivi majuzi, ugonjwa wa saratani umetia wengi kiwewe.Siku baada ya siku kuna habari kuwa mtu fulani ana ugonjwa wa saratani.Waume kwa ...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
The 2013 International Conference on Family Planning: Katika juhudi za kuboresha afya ya akina mama,shirika la mpango uzazi duniani litafanya Mkutano wa Mpango uzazi nchini Ethiopia mwezi wa Novemba mwaka huu. Mkutano huu unafanyika huku karibu watu millioni 900 kote duniani wakikumbatia uzazi wa mpango. Hata hivyo, sio wote wanaoweza kufanya uzazi wa mpango wakati wanapotaka kufuatia changamoto kadha wa kadha. Mkutano huu utawajumuisha watafiti wa afya,madaktari na wadau wengine katika sekta ya afya. Inaaminika kuwa wazazi wengi ambao wangependa kupanga uzazi wanasubuka sana.Hata kabla wapate huduma hiyo muhimu wanagundua kuwa ni wajawazito.Idadi ya wanandoa walio kwenye hali hii ni zaidi ya millioni 215 kote duniani. Uzazi wa mpango u nawezesha wanandoa kufanya maamuzi ya uzazi na ni moja ya njia ya gharama nafuu kwa ajili ya kuboresha afya ya familia. Kilingana na takwimu za shir...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Afya mazingira saratani ya shingo ya uzazi (Cervical cancer) Huku dunia ikiendelea kuadhimisha mwezi wa saratani duniani,idadi ya wanawake wanaoendelea kufariki kutokana na saratani ya shingo ya uzazi inazidi kuongezeka. Aina hii ya saratani inasababisha vifo vya wanawake wengi nchi Kenya na duniani kwa ujumla. katika shughuli zangu za kutafuta habari kuhusu ugonjwa wa saratani,nilipata fursa ya kuwahoji baadhi ya akina mama waadhiriwa na pia waliopona baada ya muda mrefu wa matibabu. Mama Muthoni Kimani anasema alipona kutokana na ugonjwa huu kugunduliwa mapema,ijapokuwa aina ya matibabu na pia gharama ni ghali mno. Wetende Ruth anasema kuwa angali anapokea matibabu na hakika ana imani atapoka.Jambo la muhimu ni kujipa moyo,anadokea watende. "kab...
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Mwezi wa Oktober ni mwezi wa kuelimisha umma jinsi ya kupambana na ugonjwa hatari wa saratani hususan ile ya matiti. Hata hivyo juhudu za kupambana na saratani haziridhishi kutokana na ukosefu wa vifaa vya kugundua na kuutibu. Baadhi ya wakenya wamelalamika kuwa vifaa duni katika hospitali za umma kunachangia ongezeko la idadi ya wanaofariki kila siku kutokana na saratani. Pia,Upungufu wa watalaamu wa saratani huku baadhi yao kukikimbilia hospitali za binafsi ambapo wanapata mishahara yakulidhisha. Hivyo basi ni jukumu la serikali kuhakikisha kuna vifaa vya kisasa.Na kuongeza mishahara kwa watalaamu wa afya. Kwa sasa,idadi kubwa ya wakenya hutafuta matibabu ya saratani nchini India ambapo ghalama ya matibabu ni nafuu. Hata hivyo, sio kila mtu au jamaa inaweza kugharamia matibabu ya saratani India. Ni jukumu ya serikali kuhakikisha kuwa wanachi hawafariki kutokana na ugonjwa huu kwa sababu ya gharama au musongamano wa wangonjwa unaopelekewa na upungufu wa v...
midwife
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Wakunga na uzazi Usimtukane mkunga na uzazi ungalipo.Hii ni methali inayotuonya tusiwadharau au kuwatukana watu tunaowahitaji kwa jambo moja au nyingine, maishani Kwa muda mrefu,wakunga wamekuwa wakitoa huduma zao kwa kina mama wajawazito hivyo basi wanaheshimika sana katika jamii. Wiki iliyopita ilikuwa ni wiki muhimu sana kwani umoja wa mataifa ulitenda siku ya kuadhimisha Fistula na pia mkutano wa wakunga duniani unaofanyika Kuala lumpur Hii ni dhahiri kuwa afya ya uzazi inapewa kipao mbele duniani. Wakati wa kujifungua kwa mwanamke, anakuwa kwenye hatari zaidi. Wengi huvuja damu hadi kufa, wengine hupangi na tundu katika sehemu zao za uzazi-fistula.Pia anaweza akampoteza mwanawe katika hali ile ya kujifungua. Ni kwa sababu hii akina mama wanahimizwa kuhudhuria vituo vya afya kwa uchunguzi na mafunzo ya kiafya. Kulingana na taarifa za Umoja wa Mataifa,Wakunga wamechukua wajibu mkubwa katika jitihada za kupunguza h...