Machapisho

Josephine Nyambura aaga duniani cancer

Picha
Maoni Ugonjwa wa saratani waendelea kukusababisha maafa. Idadi ya wanaofariki kufuatia maradhi hayo yanaongezaka kila kuchao.  Ni hali ya kuhuzunisha kuona kuwa Wasio na uwezo wa kugharamia matibabu ndio wanaoadhirika zaidi.  Ni jukumu la serikali kutafuta mikakati ku ona kwamba watu wote wanapata matibabu bila vikwazo vyovyote. Huduma ya bima ya kitaifa inapashwa pia kusaidia wenye uwezo wa kulipa malipo ya kila mwezi na pia wasioweza.  Malkia Josephine Nyambura aaga duniani . Mtoto wa miaka nne ambaye hivi majuzi alikosa kupata matibabu ya ugonjwa wa saratani kufuatia matatizo ya kifedha yaliyoikuba familia yake aaga duniani.  Malkia Josephine Nyambura alinyimwa matibabu na madaktari nchini India na kwa kuwa hali yake ilikuwa hatarini wawazi   wake wakamrejesha nchini Kenya katika hospitali kuu ya Kenyatta ambayo pia Imekuwa na upungufu wa mashine za saratani.  Hali yake ilizorota baadaye huku mwili wake kufula. Saratani ya damu aliy...

ZIka Chanjo -Vaccine

Picha
Huku ugonjwa wa Zika ukiendelea   kuenea kwa kasi,kampuni ya   dawa ya ufaransa -Sanofi Pasteur iko katika harakati   na shughuli za kukomesha virusi vya Zika. Kwa sasa kuna mikakati ya kufanya utafiti wa chanjo kwa binadamu ili kuepuka adhari za ugonjwa wa Zika. Kulingana na Nicholas Jackson, ambaye anaongoza kundi la watafiti ,shabaha yao ni kuhakikisha wamepata tiba ya virusi vya Zika haraka iwezekanavyo. Ingawa utafiti wa chanjo huchukua muda- mrefu,miaka ishirini na zaidi- kundi hili lina matumaini   kuwa watafanya wawezalo kuhakikisha tiba imepatikana kwa muda mfupi. Zaidi ya hayo,Mtafiti Jackson,ananukuliwa akisema ,kampuni ya Sanofi Pasteur inaweza kutumia ufundi,vifaa na uzoefu vilivyotumia katika utafiti na utengenezaji wa chanjo ya virusi ya Dengue miaka kadha iliyopita,katika shughuli   za utafiti na chanjo ya virusi vya Zika. Kampuni hiyo ina umaarufu na pia   inaongoza duniani katika utafiti wa chanjoya virusi vya Homa ya Majano.C...
Picha
Masaibu ya wagonjwa katika hospitali ya Mama Lucy Kibaki Mama Lucy Kibaki hospitali iliyoko Embakasi imegonga vyombo vya habari kwa sababu za kuhuzunisha. Huduma duni za matibabu,ufisadi ni baadhi ya madai yanayotolewa na wagonjwa ambao wameadhirikakwa njia moja au nyingine. Visa vya wagonjwa kutohudumiwa ipasavyo na madai ya ukosefu wa vifaa vya matibabu vinahusunisha. Kisa cha kustajabisha ni kuwa madaktari walimwacha mama mja mzito bila kuhudumiwa kwa muda hadi wanawe mapacha kufia kwenye kizazi. Imedaiwa kuwa mtoto aliyekuwa na majeraha ya ajari aliruhusiwa kwenda nyumbani hata kabla ya uchunguzi wa kina kuhakikisha kuwa maisha yake hayakuwa hatarini Mamake mtoto anasema mwanawe aliaga dunia siku oja baada ya kwenda nyumbani. Baadaye daktari katika hospitali hiyo wakamfahamisha kuwa alivuja damu kwa ubongo,kwani alikuwa na majeraha jichoni. Hayo ni baadhi ya masaibu yanayowakuba wagonjwa kwenye Hospitali ambayo ni ya pili kwa ukubwa jijini Nairobi na ya ...

Zika

Picha
Virusi vya Zika vinaenea kwa kasi mno na vinavyosababishwa watoto kuzaliwa na vichwa vidogo. Shirika la BBC limetadhimini hali hii kwa udani. Viunganishi Ruka hadi maelezo Accessibility Help Uongozaji Mshirikishe mwenz   Image copyright AP Image caption Jose Wesley, aliyezaliwa akiwa na ugonjwa wa microcephaly, alala ndani ya chandarua cha kuzuia mbu Virusi vya Zika vinaenea Amerika kwa kasi ya kuogofya. Katika mataifa 20, ambapo virusi hivyo vinaaminika kuchangia kuzaliwa kwa watoto wenye vichwa vidogo, na hasa Brazil, tahadhari imetolewa. Ni mlipuko wa maradhi ambao unaendelea, na Dkt Anthony Fauci, ambaye ni mtaalamu wa maradhi ya kuambukiza katika Taasisi ya Taifa ya Afya Marekani. Kuenea huku kwa kasi kwa virusi vya Zika ndiko kwa karibuni zaidi kati ya magonjwa manne ya virusi yanayoenezwa na mbu mataifa ya Magharibi katika kipindi cha miaka 20, anaandika Dkt Fauci kwenye makala katika jarida la kimatibabu lathe New England Journa...