Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2015

Madaga aaga dunia

Picha
Madaga afariki baada ya kukosa matibabu ya dharura kwa muda wa masaa kumi na nane.  Mgonjwa ambayo alikosa matibabu ya dharura kwenye hospitali kuu ya Kenyatta ameaga .  Alex Madaga alisubiri kwa muda mrefu kupata nafasi na matibabu katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya kufikishwa pale hospitalini baada ya kugongwa na gari kwenye barabara ya Waiyaki. Kutokana na hali yake ya majeraha hospitali ya Kikuyu iliamuru apelekwe Kenyatta kwa haraka ilikuokoa maisha yake. Lakini mambo yakaenda mlama alipozungushwa hosptali kadha mjini Nairobi baadhi yao wakisema hawakuwa na vitanda vya wagojwa mahututi au walitaka pesa kiasi Fulani kabla ya matibabu.  zaidi.Unyama ulioje?Baadhiya hospitali cha kibinafsi na pia za umma zinamazoea ya kuwakataza matibabu wangojwa huku wakitaka malipo kabla ya matibabu kutolewa. Hali hii imepelekea maafa kwa wagonjwa ambao wagepona endapo matibabu ya dharura yalitolewa.Kuyapa kipao mbele maswala ya pesa ni ulafi na kukosa utu....

Kenyatta National Hospital ICU machines

Picha
Hospitali kuu ya Kenyatta nchini Kenya imegonga vichwa vya vyombo ya habari hasa  mwaka huu kwa uduni,upungufu au ukosefu wa vifaa maalum vya matibabu. Awari baadi ya wagonjwa wanaougua saratani walijipata pambaya,walipofika hospitalini pale kwa matibabu kama kawaida lakini wakafahamishwa kuwa mashine za (radio therapy) zilikuwa zimepata hitilafu za kimitambo. hata baada ya muda usio mrefu sasa imebainika kuwa kuna mashine thelathini pekee za wagonjwa mahututi na hii inasababisha msongamano hasa kwa wagonjwa wanaopelekwa Kenyatta kwa magonjwa ya dharura. Majeruhi hasa wa ajali za barabarani husuburi kwa muda mrefu ndani ya abulensi huku wengine wakifariki kabla ya kupata nafasi kwenye chumba cha wagonjwa mahututi. Kufuatia hali hii kuna mama mmoja ambaye alianzisha shirika lakuwasaidi wagonjwa kama hao baada ya nduguye Moris kufariki katika hali hiyo-yakukosa nafafi kwenye chumba cha wagonjwa wahututi. Hii ni changamoto kwa serikali kuhakikisha hela za kutosha kinaten...

Janet Kanini Ikua lung cancer

Picha
MTANGAZAJI AUGUA SARATANI Mtangazaji Janet Kanini Ikua amegunduliwa kuna anaigua saratani ya mapafu. Kanini alisema kupitia mtandao kuwa ako nchini India ambako anaendelea kupokea matibabu. Hapo awali Kanini alikuwa pia alipatikana na ugonjwa wa damu kuganda kwenye misipa inayopeleka damu kwenye roho. Kiinim chake hasa kuzuru India ilikuwa ni kupokea matibabu ya ugonjwa huo ujulikanao kwa kimombo kama Deep Vein Thrombosis. Dalili ya ugonjwa huu ni kufura miguu na pia kuwa na uchungu miguuni unaomfanya mgonjwa kuwa na matatizo ya kutembea. Daktari wake aliyemtaja kama wakutajika nchini India amemhakikishia kuwa akiendelea na matibabu kwa muda wa miezi sita au zaidi atapona,ingawa unaweza ukarudi. Kwa sasa anapokea matibabu kuhakikisha damu iliyoganda haifiki kwenye roho au moyo ambazo ni viungo muhimu  sana mwilini. deep vein thrombosis, deep vein thrombosis, deep vein thrombosis, Hata baada ya hali yake hiyo Kanini alisema anaha...