Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2019

Rais Uhuru Kenyatta Canada Conference

Picha
Kongamano la jinsia Vancouver,Canada Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta ataondoka nchini wiki ijayo kuelekea nchini Canada kuhudhuria kongamano la maswala ya jinsia na afya ya akina mama na wasichana ilioadaliwa na shirika la Women Deliver. Rais Kenyatta ni miongoni mwa wakuu wa mataifa na serikali waliopokea mwaliko wa waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau. Mkutano huo utaadaliwa jumatatu hadi jumatano wiki hii ,utaangazia maswala ya ya jinsi, afya na haki za wanawake. Wadaukutoka sekta ya afya,vijana,wasomi,wanaharakati na waandishi wa habari kutoka nchi zaidi ya elfu sita(6,000) wanatarajiwa kuhudhuria mkutano huu. Nchini ya kenya ni miongoni mwa nchini ambazo zinajitahidi kupiga hatua katika maswala na jinsia na haki za akina mama. Serikali,kupitia bima ya afya ya kitaifa inatoa huduma ya linda mama ;huduma hii inasaidia wa mama kupata huduma ya matibabu ya bure wanapoeenda kujifungua popote nchini kenya. Mama waTaifa ,Margaret Kenyatta pia amekuwa katika mstari wa mbele kuc...

Women deliver,Vancouver,Canada 2019

Picha
Women Deliver 2019 Conference   Shirika linalo ongoza katika juhudi za kutetea haki na afya ya akina mama , Woman Deliver imetayarisha kongamano la usawa wa jinsia,haki na ustawi wa wasichana na wanawke utakaofanyika huko Vancouver nchini Canada mwanzoni mwa mwezi wa Juni mwaka huu. Mkutano huu unalenga maswala ya jinsia na afya ya akina mama na wasichana katika karne ya 21. Wadau kutoka sekta ya afya,vijana,wasomi,wanaharakati na waandishi wa habari kutoka nchi zaidi ya elfu sita(6,000) wanatarajiwa kuhudhuria mkutano huu.Waakilishi kutoka   Shirika la afya ulimwenguni,WHO watajiunga na wadau hawa katika mkutano huu unaotajwa kama mkubwa kufanyika Canada. Mkurugenzi Mkuu wa WHO Daktari Tedros Adhanom Ghebreyesus, anasema usawa   wa kijinsia lazima uwe msingi wa afya kwa wote . Rais wa Women deliver Katja Iversen anasema shirika lake limejitolea kuwapa matumaini akina mama kwa vitendo na sio kwa maneno matupu. Anasema kuwa huu ni mkutano wa tan...

Tobacco day 2019 -Tumbaku

Picha
Maadhimisho ya siku ya kimataifa duniani ya kutovuta tumbaku yatafanyika kesho, Ijumaa. Shughuli hii hufanyika kila mwaka ,lengo likiwa kuwatahadharisha watu adhari za ufutaji au utumiaji wa tumbaku kwa afya ya watu. Mwaka huu kauli mbinu ikiangazia matumizi ya tumbaku na adhari zake kwa mapafu ya mwanadamu,” Usikubali tumbaku ichukue pumzi yako ” Shirika la afya ulimwenguni, WHO inakadilia kuwa zaidi ya asilimia 40 ya vifo vihusianavyo na utumiaji wa tumbaku ni kama vile magonjwa ya saratani, magonjwa sugu ya njia ya hewa na Kifua Kikuu.WHO inataka serikali na wadau wana jukumu la kuhakikisha hatua za kulinda watu dhidi ya tumbako zimeongezwa. Mkurugenzi WHO,Daktari Tedros Ghebreyesus   amenukuliwa akisema kuwa,kila mwaka watu wapatao millioni   nane hufariki kutokana na matumizi ya tumbako. Zaidi ya hayo,mamilioni ya watu duniani wanaishi na magonjwa   yanayosababishwa   na madhara ya utumiaji tumbaku. Anasema Dkt Ghebreyesus kuwa kwa mtu ku...