Prof.Wangari Mathaai
Majereha ukapata kwa ajili ya mangizira.
Kifo cha shujaa wa Mazingira
| Mama Wangari Maathai |
Hongera Mama Mathaai kwa kazi yako nzuri ulioifanya.
Chemichemi za maji ukahakikisha zimelindwa.
Shughuli ya ukataji miti misituni ukapigwa marufuku.
Upanzi wa bangi Mlima Kenya ukakoma.
Majereha ukapata kwa ajili ya mangizira.
Katunukiwa Tuzo ya Nobeli kwa ukakamavu wako
Hongera! Hongera! Mama Mathaai
Mola akuweke pema peponi.
Maoni
Chapisha Maoni