Prof.Wangari Mathaai


Kifo cha shujaa wa Mazingira


Mama Wangari Maathai
Hongera Mama Mathaai kwa kazi yako nzuri ulioifanya.
Chemichemi za maji ukahakikisha zimelindwa.
Shughuli ya ukataji miti misituni ukapigwa marufuku.
Upanzi wa bangi Mlima Kenya ukakoma.


Majereha ukapata kwa ajili ya mangizira.
Katunukiwa Tuzo ya Nobeli kwa ukakamavu wako
Hongera! Hongera! Mama Mathaai
Mola akuweke pema peponi.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Global Health Leaders Rally in Bogotá to Tackle Reproductive Health Gaps

Unsafe Abortion