Jumatano, 30 Julai 2014
Dr Umar Khan afariki
Daktari mashuhuri wa ebola amefariki.
Dk. Sheik Umar Khan Alijitolea mhanga kuwatibu walio ambukizwa Virusi vya ebola.
Hata hivyo ajari haina kinga katika harakati ya kuhakikisha kuwa amewatibu wagonjwa, alipata Virusi vya ebola wiki moja iliyopita.
Hivi majuzi kwenye mahojiano na wana Habari, Dk.Umar alisema yeye kama mwanadamu yeyote anathamini uhai na alihofia uhai wake lakini hangeacha kutekelezwa wajibu wake.
Mola ailaze roho yake mahali pema peponi.
Idadi ya vifo nchini Guinea, Sierra Leone na Liberia Inakisiwa kuwa 672 kutoka Februali mwaka huu.
Jumatatu, 21 Julai 2014
cancer conference,windhoek
Kongamano la saratani
Mkutano kuhusu ugonjwa hatari wa saratani umeanza hii leo mjini Windhoek,Namibia.
Mkutano huu hulifunguliwa na rais Hifikepunye Pohamba huku akisema ni muhimu kwa umoja wa Afrika na pia mataifa tofauti Afrika kutafuta binu na mikakati ya kuangamisha saratani.
Mada ya mkutano huu ni kuendelea na mikakati ya kutambua na kutibu saratani ya shingo ya uzazi yaani cervical cancer imekuwa donda ndungu kwa wanawake .Saratani ya matiti pia inaenea kwa haraka barani Afrika.
Malengo mengine ni kutafuta binu ya kuzuia kenea kwa saratani ya shingo ya uzazi ifikapo mwaka wa 2030.
Rais Pohamba alilalama kuwa zaidi ya watu millioni 28 hufariki kutokana na maradhi ya saratani kila mwaka jambo ambalo nila kuhuzunisha.
Mkewe Rais wa kenya Margaret Kenyatta ni miongoni mwa wake wa marais wanane wanaohudhuria kongamano hii ya siku tatu.
Bi Kenyatta amekuwa mstari wa kwanza kama mama wa taifa kuangamizia na kupigia debe maswala ya afya na akina mama.
AIDs conference
Kongamano la kimataifa kuhusu ukimwi latia nanga ,huku washiriki wakitoa heshima kwa wenzao waliofariki kwenye ajari ya ndege ya Malaysia.
Husuni ilitanda kote kwenye ukumbi huyo wa mikutano.
Hakika kifo cha wataalamu hao sita ni pigo kwenye kongamano hilo na ulimwengu kwa jumla. Aliwataja kama mashujaa na watafiti yalihobea katika nyanja ya utafiti na afya.
Rais wa Shirika la Ukimwi Duniani, Francoise Barre-Sinoussi alisema hata baada ya mkasa huo washiriki wataendelea kufanya vikao wakiwa na lengo la kutafuta tiba ya ugonjwa wa ukimwi.
Shirika la Afya Duniani(WHO) pia limepata pigo baada ya msemaji wake Glenn Thomas ambaye kwa wakati mmoja alikuwa mwadishi wa Shirika la Utangazaji la BBC .
Glenn raia wa uingereza alipenda sana kuangazia maswala ya afya na alitumika katika shirika la WHO kwa miaka kuni.Kwa hakika viti vyao vilibaki wazi huku vitambulisho vyao vikibaki mezani huku majukumu waliotengewa katika mkutano huo yakatekulezwa na wengine.
Ijumaa, 18 Julai 2014
Aids2014..ukimwi melbourne
MKUTANO KUHUSU UKIMWI 20
Mkutano unatarajiwa kuanza jumapili mjini Melbourne, Australia.watalaamu wa afya na watafiti wa makali ya ukimwi duniani kote wamealikwa.
Habari njema ni kuwa maambukizi ya ukimwi imepunguka kote ulimwenguni .
Shirika la Ukimwi duniani linabaini kuwa idadi ya vifo vinavyosababishwa na ukimwi duniani vimepungua kwa kasi mwaka 2013 sawa na asilimia 11.8% ndani ya mwaka mmoja.
Zaidi ya hayo UNAIDS inasema kwamba lengo la pambano hilo mwaka huu ni kusisitiza kuwahudumia waliosahauliwa kama vile wafungwa, wafanyabiashara ya ngono, wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na kadhalika.
Hii ni idadi ya waathiriwa wa ukimwi duniani ambayo imetolewa na taasisi ya Umoja wa Mataifa inayokabiliana na ukimwi katika ripoti ya mwaka 2013, kabla ya kikao cha Melbourne kuhusu ukimwi.
Eneo
hili lilioko kusini mwa jangwa la Sahara linaendela kuathirika zaidi na
ugonjwa huu wa ukimwi, likiwa na asilimia 70.6 ya watu walioathirika
duniani. Ugonjwa huu unawaathiri kwa sehemu kubwa wanawake ambao
wamefikiya sasa asilimia 58 ya walioambukizwa katika eneo hili la kusini
mwa jangwa la sahara.
Ugonjwa wa kifua kikuu ni moja ya sababu kuu ya vifo kwa watu wanaoathika na virus vya ukimwi.Dola bilioni 19.1 ziliwekezwa mwaka 2013 kwa kupambana na ugonjwa wa ukimwi.
Mkutano unatarajiwa kuanza jumapili mjini Melbourne, Australia.watalaamu wa afya na watafiti wa makali ya ukimwi duniani kote wamealikwa.
Habari njema ni kuwa maambukizi ya ukimwi imepunguka kote ulimwenguni .
Shirika la Ukimwi duniani linabaini kuwa idadi ya vifo vinavyosababishwa na ukimwi duniani vimepungua kwa kasi mwaka 2013 sawa na asilimia 11.8% ndani ya mwaka mmoja.
Zaidi ya hayo UNAIDS inasema kwamba lengo la pambano hilo mwaka huu ni kusisitiza kuwahudumia waliosahauliwa kama vile wafungwa, wafanyabiashara ya ngono, wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na kadhalika.
Hii ni idadi ya waathiriwa wa ukimwi duniani ambayo imetolewa na taasisi ya Umoja wa Mataifa inayokabiliana na ukimwi katika ripoti ya mwaka 2013, kabla ya kikao cha Melbourne kuhusu ukimwi.
Kwa
jumla mwaka 2013, takribani watu milioni 35 walikua wakiishi na virus
vya ukimwi duniani, huku watu milioni 1.5 walifariki kutokana na ukimwi
mwaka 2013.Mwaka huo huo wa 2013, watu milioni 2.1 duniani waliambukizwa
virus vya ukimwi, huku idadi hio ikishuka mwaka 2001 kwa asilimia
38.Watoto 240.000 walizaliwa na virus vya ukimwi mwaka 2013, huku
asilimia 87.7 wakiwa ni watoto kutoka katika nchi za Afrika ziliyoko
kusini mwa jangwa la Sahara.
Ugonjwa wa kifua kikuu ni moja ya sababu kuu ya vifo kwa watu wanaoathika na virus vya ukimwi.Dola bilioni 19.1 ziliwekezwa mwaka 2013 kwa kupambana na ugonjwa wa ukimwi.
Joep Lange
Jeop Lange mtafiti wa tiba ya makali ya ukimwi aaga dunia.
-Sekta ya afya na tiba, na dunia kwa jumla inaomboleza kifo za Jeop Lange, mtafiti wa tiba ya makali ya ukimwi dunia.Mtafiti stadi wa afya duniani ni miongoni mwa abiria waliofariki baada ya ndege ya Malaysia,waliokuwa wakisafiria, kuanguka huko Ukraine.
Joep Lange alikuwa mwanasayansi mashuhuri ambaye pamoja na watafiti wenzake
lifanya juu chini kutafuta tiba ya ugonjwa wa ukimwi duniani.
Lange Pia ni raia wa Uhoranzi.
Mtafiti kutoka Amerika,Dkt Rick Elion alimtaja Lange kama mtu mwenye roho ya dhahabu,mkarimu na mwenye bidii kama ya mchwa.
Inakisiwa baadhi ya abiria kwenye ndege hiyo ya Malaysia walikuwa wataalamu wa afya na watafiti wa maswala ya ukimwi waliokuwa safarini kuelekea Melbourne , Australia kuhudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu ukimwi utakaoanza Jumapili.
Watu 298 waliokuwa katika ndege hiyo ya shirika la Malaysia iliyokuwa ikisafiri kutoka Amsterdam kuelekea Kualar Lumpur wamefariki ,huku taarifa zikionyesha kuwa raia wa Uhoranzi kuwa wengi.
Kifo cha Lange ni pingo kwenye rubaa za kitaifa na sekta ya afya duniani. Husuni na simanzi zimetanda kote.
Takwimu za Shirika la Afya Duniani zinaonyesha upungufu wa idadi ya Maambukizi ya ukimwi.
Mola amlaze Lange na wote walifariki kwenye ajari hiyo pema peponi.
....
Mkutano wa ukimwi
Mkutano wa kimataifa kuhusu ukimwi unatarajiwa kuanza jumapili mjini Melbourne, Australia.watalaamu wa afya na watafiti wa makali ya ukimwi duniani kote wamealikwa.
Habari njema ni kuwa maambukizi ya ukimwi imepunguka kote ulimwenguni .
Shirika la Ukimwi duniani linabaini kuwa idadi ya vifo vinavyosababishwa na ukimwi duniani vimepungua kwa kasi mwaka 2013 sawa na asilimia 11.8% ndani ya mwaka mmoja.
Zaidi ya hayo UNAIDS inasema kwamba lengo la pambano hilo mwaka huu ni kusisitiza kuwahudumia ambao wamesahauliwa kama vile wafungwa, wafanyabiashara ya ngono, wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na kadhalika.
Hii ni idadi ya waathiriwa wa ukimwi duniani ambayo imetolewa na taasisi ya Umoja wa Mataifa inayokabiliana na ukimwi katika ripoti ya mwaka 2013, kabla ya kikao cha Melbourne kuhusu ukimwi.
Kwa jumla mwaka 2013, takribani watu milioni 35 walikua wakiishi na virus vya ukimwi duniani, huku watu milioni 1.5 walifariki kutokana na ukimwi mwaka 2013.Mwaka huo huo wa 2013, watu milioni 2.1 duniani waliambukizwa virus vya ukimwi, huku idadi hio ikishuka mwaka 2001 kwa asilimia 38.Watoto 240.000 walizaliwa na virus vya ukimwi mwaka 2013, huku asilimia 87.7 wakiwa ni watoto kutoka katika nchi za Afrika ziliyoko kusini mwa jangwa la Sahara.
Eneo hili lilioko kusini mwa jangwa la Sahara linaendela kuathirika zaidi na ugonjwa huu wa ukimwi, likiwa na asilimia 70.6 ya watu walioathirika duniani. Ugonjwa huu unawaathiri kwa sehemu kubwa wanawake ambao wamefikiya sasa asilimia 58 ya walioambukizwa katika eneo hili la kusini mwa jangwa la sahara.
Ugonjwa wa kifua kikuu ni moja ya sababu kuu ya vifo kwa watu wanaoathika na virus vya ukimwi.Dola bilioni 19.1 ziliwekezwa mwaka 2013 kwa kupambana na ugonjwa wa ukimwi
Jumatano, 25 Juni 2014
fistula Kenyatta National Hospital
Ugonjwa wa fistula umekuwa ni kero kwa akina mama wanaokubwa na hali hii.
Habari njema ni Kwamba wanaougua fistula sasa wana sababu ya kutabasamu.
Hospitality kuu ya kitaifa ya Kenyatta kwa ushirikiano na wadau wengine katika sekta ya afya wametangaza kuwa kuanzia tarehe 4-18 Julai mwaka Huu watatoa matibabu ya bure kwa wote.
Huduma hii inatolewa bila malipo ilikumrudishia hadhi mwanamke anaye baguliwa, kukejeliwa na kuteswa na jamii kufuatia Hali yake.
Baadhi ya akinaHabari mama ambao wamefaidika kupitia Huduma hii wanasema wamezaliwa upya na wanasababu ya kuishi tena.
Kuna wengine ambao wamejiua kufuatia unyanyapa na kutekelezwa na jamii.
je fistula ni nini?
Tundu kwenye mango was uzazi. Tundu hili linaweza kutokea kati ya uke na njia ya haja kubwa au kati ya kibofu na uke baada ya mama kushindwa kujifungua au kutumia muda mrefu kujifungua. Pia kunajisiwa kunaweza kusababisha hali hii.Matokeo yake ni kwamba wanawake wenye fistula hujikuta katika matatizo makubwa ya kutokwa ovyo na mkojo au na kinyesi.Mara kwa mara wao hutengwa na jamii na kudharauriwa.Mwishowe wengi hujitia kitanzi kwa sababu ya machungu.

Kenya ni nchi ambazo zimepiga hatua kuhakikisha angalau akina mama na wakenya wa jumla wamehamasishwa kuhusu madhara yake ya namna ya kukakabili hali hii.kulingana na takwimu za UNFPA zaidi ya visa 3,000 hulipotiwa kila mwaka huku.Kuna hospitali chache hapa nchini ambazo zinafanya upasuaji wa kurekebisha hali hii, kamaHospitali kuu ya Kenyatta na Moi referal,Eldoret.
Hata hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa wakenya wamepata mafunzo kuhusu afya ya uzazi ili wajue kuna tiba ya fistula.Hali ya wasichana wadogo kukumbwa sana na fistula ya uzazi inahusishwa kwa karibu zaidi na kutokomaa vizuri kwa miili yao na nyonga zao.
Mara nyingi fistula ya uzazi huwakumba watu wanaoishi maeneo ya vijijini ambako kuna uhaba mkubwa sana wa watoa huduma wenye ujuzi.zaidi ya hayo,baadhi ya watu niliowahoji hawajui kuna tiba ya fistula hasa vijini.Wengine hawajui aina za mpango wa uzazi walio chini ya miaka kumi na nane na ushirini.
ukosefu wa ushauri kwa hakika kunachangia wasichana wengi kujikuta katika haliMwaka wa 1992 na 2001 upazuaji kerekebisha hali hii uliongezeka kutoka 36 hasi 479 kwa mwaka.Hatua ya kujia moyo ingawa mengi yahitajika.Huenda hali hii ya akina mama wawili wanaoadhirika wakijifungua kati ya akina mama 1,000 ikaimarika katika siku za karibuni.Tuna watakia akina mama wanaojifungua baraka zake maulana
Habari njema ni Kwamba wanaougua fistula sasa wana sababu ya kutabasamu.
Hospitality kuu ya kitaifa ya Kenyatta kwa ushirikiano na wadau wengine katika sekta ya afya wametangaza kuwa kuanzia tarehe 4-18 Julai mwaka Huu watatoa matibabu ya bure kwa wote.
Huduma hii inatolewa bila malipo ilikumrudishia hadhi mwanamke anaye baguliwa, kukejeliwa na kuteswa na jamii kufuatia Hali yake.
Baadhi ya akinaHabari mama ambao wamefaidika kupitia Huduma hii wanasema wamezaliwa upya na wanasababu ya kuishi tena.
Kuna wengine ambao wamejiua kufuatia unyanyapa na kutekelezwa na jamii.
je fistula ni nini?
Tundu kwenye mango was uzazi. Tundu hili linaweza kutokea kati ya uke na njia ya haja kubwa au kati ya kibofu na uke baada ya mama kushindwa kujifungua au kutumia muda mrefu kujifungua. Pia kunajisiwa kunaweza kusababisha hali hii.Matokeo yake ni kwamba wanawake wenye fistula hujikuta katika matatizo makubwa ya kutokwa ovyo na mkojo au na kinyesi.Mara kwa mara wao hutengwa na jamii na kudharauriwa.Mwishowe wengi hujitia kitanzi kwa sababu ya machungu.
Kenya ni nchi ambazo zimepiga hatua kuhakikisha angalau akina mama na wakenya wa jumla wamehamasishwa kuhusu madhara yake ya namna ya kukakabili hali hii.kulingana na takwimu za UNFPA zaidi ya visa 3,000 hulipotiwa kila mwaka huku.Kuna hospitali chache hapa nchini ambazo zinafanya upasuaji wa kurekebisha hali hii, kamaHospitali kuu ya Kenyatta na Moi referal,Eldoret.
Hata hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa wakenya wamepata mafunzo kuhusu afya ya uzazi ili wajue kuna tiba ya fistula.Hali ya wasichana wadogo kukumbwa sana na fistula ya uzazi inahusishwa kwa karibu zaidi na kutokomaa vizuri kwa miili yao na nyonga zao.
Mara nyingi fistula ya uzazi huwakumba watu wanaoishi maeneo ya vijijini ambako kuna uhaba mkubwa sana wa watoa huduma wenye ujuzi.zaidi ya hayo,baadhi ya watu niliowahoji hawajui kuna tiba ya fistula hasa vijini.Wengine hawajui aina za mpango wa uzazi walio chini ya miaka kumi na nane na ushirini.
ukosefu wa ushauri kwa hakika kunachangia wasichana wengi kujikuta katika haliMwaka wa 1992 na 2001 upazuaji kerekebisha hali hii uliongezeka kutoka 36 hasi 479 kwa mwaka.Hatua ya kujia moyo ingawa mengi yahitajika.Huenda hali hii ya akina mama wawili wanaoadhirika wakijifungua kati ya akina mama 1,000 ikaimarika katika siku za karibuni.Tuna watakia akina mama wanaojifungua baraka zake maulana
Jumanne, 4 Februari 2014
siku ya saratani duniani
Wanasayansi wanaamini kuwa unywaji mwingi wa pombe
unaweza kuleta hisia zisizo za kawaida mwilini ambazo zinaweza kuiweka
ngozi katika hatari zaidi ya kupata Saratani ya ngozi.
Kemikali ya Ethanol inapogeuzwa kuwa
“Acetaldehyde” baada ya ulaji wa chakula,kemikali hii yaweza kuiwezesha
ngozi kupenyeza miale hata ya jua (UV light)Taarifa zinazohusiana
''Utafiti umeonyesha kuwa wagonjwa wanaougua Melanoma huathirika kwa ajili ya kuota jua kwa muda mrefu,hili linaweza kupunguzwa iwapo mtu atajikinga kutokana na jua kali,'' asema Sarah Williams wa Utafiti wa Kansa, Uingereza.
Kulingana na utafiti wao uliochunguza mada 16 tofauti na kushirikisha maelfu ya watu,unywaji wa chupa moja ya pombe moja au zaidi kila siku huongeza uwezekano wa kupata Saratani ya ngozi kwa asilimia ishirini.
Uwezekano wa kupata Saratani uliongezeka sawasawa na unywaji wa pombe,kwa mfano wale waliokunywa gramu 50 ya pombe walikuwa katika hatari zaidi ya kupata Saratani ya ngozi inayoua watu wengi zaidi duniani ,inayofahamika kama Melanoma.
Daktari Eva Negri,mmoja wa waandishi wa utafiti huu kutoka chuo kikuu cha Milan anasema kuwa unywaji wa pombe unaweza kuathiri uwezo wa mwili kujikinga hasa palipo na mnunurisho Wa miale ya jua.
Huu unaweza kuathiri seli kwa kiwango kikubwa na hivyo basi kusababisha Saratani ya ngozi.
Utafiti huu ulinuia kujua ni kwa kiwango gani pombe inachangia kuongeza uwezekano wa kuambukizwa Melanoma,na hivyo basi kuwepo kwa maarifa hii inaweza kuhamasisha watu kujikinga na miale ya jua.
Melanoma sanasana hujitokeza kwa mara ya kwa kwanza ngozini kupitia baka jeusi.
Profesa Chris Bunker,rais wa shirika la wataalamu wa ngozi nchini Uingereza alisema kwamba Saratani ya ngozi ndiyo kansa inayoripotiwa zaidi nchini Uingereza na inayowaua watu wengi zaidi nchini humo. Aliongeza kuwa utafiti wowote kwa swala hili unakaribishwa.
Wananchi wa Uingereza hufahamika sana kama wanywaji wa pombe na wenye kupenda kuota jua, hivyo basi utafiti huu utawaruhusu watu kufanya maamuzi bora kuhusu afya zao.
Melanoma
Dalili ya kwanza ya Melanoma ni kuwepo kwa baka jeusi ngozini au kubadilika kwa baka lililokuwa tayari kwenye mwili.Hili laweza kufanyika katika sehemu yoyote mwilini hata hivyo miguu,mikono na uso huathirika pakubwa.
Kwa mara nyingi Melanoma huwa na umbo tofautitofauti na rangi zaidi ya moja.
Yaweza kuwa kubwa na mara kwa mara huwasha na kuvuja damu.
''Tunawahimiza watu kujitunza wanapokuwa chini ya miale ya jua .Kwa kuwa watu wengi hupenda kunywa mara kwa mara wanapobarizi, lengo letu ni kuwahamasisha kutahadhari na kukinga ngozi zao kila wakati.''
Mara nyingi baada ya kuota jua wakati wa likizo, wengi hubambuka ngozi.
Mtaalamu Sarah Williams wa shirika la utafiti wa SarataniKansa anasema kuwa uchunguzi huu hauelezi kikamilifu kinachosababisha Melanoma.
Hii ni kwa kuwa watafiti wenyewe wanaeleza kuwa, matokeo hayo ni kwa ajili ya miale ya jua wala si pombe. Utafiti nao umeonyesha kuwa Melanoma inatokana na kuota jua kwa muda na kubambuka ngozi:unaweza kujikinga kwa kujikinga na jua.
Kulingana na uchunguzi wake,jua nchini Uingereza halina nguvu zaidi kusababisha Sarataniy a ngozi, hata hivyo usisahau kukinga ngozi yako unapokwenda kupata jua wakati wa majira ya baridi.
Na kugusia swala la pombe na Saratani ya ngozi, ni muhimu kupunguza kiwango cha pombe unachokunywa. Pombe imetajwa kusababisha aina saba za kansa hivyo basi, Kupunguza unywaji yaweza kupunguza uwezekano wa kuambukizwa Saratani ya ngozi.
-BBC
cancer day
leo ni siku ya ugonjwa wa saratani duniani
Uraibu wa pombe na sigara husababisha saratani
Shirika hilo limesema nusu ya ugonnjwa wa Saratani yanaweza kuzuiwa na kwamba juhudi mpya zinastahili kufanyika ili kukabiliana na tatizo la kunenepa kupita kiasi, ulevi na uvutaji sigara.
Watu milioni kumi na nne wanajulishwa kuwa wanaugua saratani kila mwaka, lakini idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka na kufikia milioni ishirini na nne katika kipindi cha miongo miwili ijayo.
Taasisi ya utafiti wa kimataifa kuhusu ugonjwa wa Saratani katika shirika la WHO lilionya kuwa gharama ya matimabu inaongezeka kwa kiwango ambacho ni vigumu kumudu.
Taasisi hiyo imesema serikali zinahitajika kutekeleza sheria kali zaidi kuhusu matumizi ya pombe na sukari kama vile kuongeza bei na marufuku ya matangazo ya kibiashara ya bidhaa hizo.
Jumanne, 28 Januari 2014
Anne Waithera Aaga dunia (BBC)
Saratani Saratani...saratani nenda zako ...tuachie afya zetu!!!

Mwandishi wa Shirika la utangazaji la Uingereza ( BBC) Anne Waithera Ameaga dunia.
Hii leo nina husuni tele ninapoandika kuhusu kifo cha rafiki na wandishi menzangu Anne Waithera.
Waithera alikuwa mtangazanji katika shirika la utangazaji la BBC ambaye pia alipenda sana kuandika kuhusu maswala ya afya.
Ann amekuwa akiugua saratani.
Katika enzi za uhai wake alifanya kazi na kituo cha habari cha Royal Media Services Citize,Nation Media Group.
Aliwahikutunukiwa zawadi katika nyanja ya afya na mazingira na mashirika tofauti ikiwemo Internews.
Mola ailaze roho yake mahari pema peponi.
Jumatano, 22 Januari 2014
Jerry Okungu afariki
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)