Jumanne, 17 Machi 2020

COVID -19 Tanzania

Kisa cha kwanza  cha virusi vya corona kimethibitisha  Arusha,Tanzania
Inasemakana kuwa mgonjwa aliwasiri nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kirimanjaro Mwezi wa Machi,15 mwaka huu.
Mgonjwa huyu ni mwanamke raia wa Tanzania aliye na umri wa miaka 46.
Aliwasiri kutoka Ubelgiji kwa ndege ya shirika la Rwanda
ambaye aliwasiri aliyetangazwa ni mwanamke wa miaka 46 raia wa Tanzania, ambaye aliwasili kutoka Ubelgiji kwa ndege ya shirika la Rwanda.
Mtanzania huyo ambaye kwa sasa anapokea matibabu kwenye hospitali ta Rufaa ya Mt Meru Arusha,alitembelea nchi tofauti katika ziara yake huko Uraya.
Alizuru Denmark,Sweden na Ubelgiji na kurejea nchini ,ingawa maabukizi ya Corona hayakuguduliwa alipowasiri nchini Tanzania.
Baada ya muda,alianza kujihisi vibaya na kwenda hospitalini ambapo sampuli ilichukuliwa  na baadaye ikapelekwa kwa maabara ya kitaifa jiji Dar es salaam kwa uchunguzi.
Kulinga na Waziri wa Afya Tanzania Ummy Mwalimu vipimo vya maabara virithibitisha kuwa mgonjwa huyo ana maambukizi ya virusi vya COVID-19 na kwa sasa anaendelea kupokea matibabu.
Waziri amesema kuwa serikali ya Tanzania imechukua hatua mwafaka kuhakikisha kuwa ugonjwa huu umekabiliwa.
"Vipimo vya maabara vimethibitisha kuwa mtu huyo ana maambukizi ya ugonjwa wa corona, covid -19, Mgonjwa anaendelea vizuri na matibabu."Waziri Ummy ameongeza kusema," Serikali inaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha kwamba ugonjwa huu unathibitiwa ili usisambae nchini.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni