Upuka maambukizi ya Corona;fuata masharti au maagizo
Tangu
mlipuko wa virusi vya Corona kutangangwa kimekuwa na mijadala na maoni tofauti
dhidi ya kijikinga na virusi.
Baadhi
ya dhana za kupotosha kuhusu tiba ya COVID -19
- ·
Kunywa vileo
- ·
Kunywa chai ya rangi
- ·
Kuoga maji moto
- ·
Kukaa kwenye jua
- ·
Ulaji wa vitunguu saumi na timu
- · Mbu inaambukiza virusi vya Corona
- Hizi ni dhana potofu ambazo hazina ukweli wowote.
Hivyo
basi, ni muhumu kuhakikisha :
- ·
Nawa mikono mara kwa mara au tumia kitakasa mikono
- ·
Funika mdomo na pua unapopiga chafya
- ·
Usikaribiane na watu wala usiwe kwenye mkusanyiko wa watu
- ·
Usisalimu kwa mikono
- ·
Vaa barakoa
- ·
Kaa nyumbani
Ukiwa
na dalili zifuatazo ni muhimu kupata ushauri wa daktari haraka …
Dalili
- · Homa
- · Kukohoa
- · Ugumu wa kupumua
- · Maumivu mwilini
- · Kuumwa na kichwa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni