Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2016

Aids vaccine

Leo ni siku ya Ukimwi Duniani. Maadhimisho haya yanakuja wakati  ufanisi kukabiliana na janga la Ukimwi ukichukua mwelekeo mwafaka. Hii ni kufuatia tangazo kuwa Afrika Kusini inafanya majaribio chanjo mpya dhidi ya virusi vinavosababisha Ukimwi. Endapo itapata mafanikio, chanjo Hii itawezesha waadhiriwa wa ugonjwa huu, kukabiliana na makali ya virusi (VVU). Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii. Wanasayansi matumaini majaribio hayo, yanayojulikana kama  HVTN 702, yatazinduliwa  kwa kuwatumia wanaume na wanawake 5,400 ambao wanaojamiiana kutoka maeneo 15 nchini Afrika Kusini.Wagonjwa watakaoshiriki katika chanson hiyo wanapashwa kuwa n'a umri  wa kati ya miaka 18 na 35. Hata hivyo kuna watu wanao sema kuwa chanson hii ina faida na hasara pia. Itawasaidia wagonjwa wa Ukimwi huku wengine wakiamua kufanya ngono kihorera. Pia Hii chanjo itakuwa na madhara kwa mwili kama vile; V...

TB

Tanzania imepiga hatua mbele, kwa kubuni mbinu ya kuukabili ugonjwa wa kifua kikuu, kwa kuzindua MAABARA  jijini Dar es salaam. Mradi huu utakua chini ya usimamizi wa chuo kikuu cha  Kilimo cha Sokoine. Ubunifu huu utafanywa kwa kutumia panya buku kupima sampuli za ugonjwa wa kifua kikuu (TB).Inaaminika panya mmoja ana uwezo wa kupima sampuli Mia moja katika muda wa dakika ishirini. Hatua hii imefanyika huku kukiwa na ongezeko la idadi ya wagonjwa wa kifua kikuu Tanzania. Tanzania ni miongoni nchi barani Afrika zenye maambukizi ya juu ya ugonjwa huo na kutumia njia  hii katika kupambana na ugonjwa huu itakuwa ni afueni. Wataalamu wanasema kuwa njia ya  hapo awali  ilitoa uhakika wa sampuli kwa asilimia 20 hadi 60 huko asilimia 40 hawagunduliki na hivyo kuendelea kuambukiza wengine. Daktari Georgies Mgode  anasema mradi huo wa kupima vimelea vya kifua kikuu utakutumia panya waliofunzwa. Dk.Mgode, ambaye pia ni meneja wa mradi huu, anafafanua kuwa ...

Vasectomy

Picha
Uzazi mpango Huku maisha yakiwa magumu Barani Afrika hususan Kenya, kuna haja yakufanya uzazi mpango ili kuweza kukimu mahitaji ya kila siku. Akina mama kwa muda mrefu ndiyo wenye majukumu ya kupanga uzazi Huku Akina baba wakijihuzisha n'a majukumu mengine. Lakini mambo imechukua mwelekeo mpya Huku wanaume wakiamua kupanga uzazi pia.  Haya majukumu ni ya kila mmoja, n'a ni vema kushirikiana wake kwa waume. Hii imepelekea wanaume kutafuta njia za kupanga uzazi. Njia mojawapo ya hizo ni ile ya vasectomy; kufunga mirija unaotoa mbegu za kiume. Hii ni njia ya kudumu ya kupanga uzazi. Ni majuzi tu ambapo siku ya kuadhimisha uzazi mango wa vasectomy nchini Kenya n'a pia kote duniani.  Nchini ya Kenya ilichukua fursa Hii kuelimisha jamii umuhimu wa wanaume kupanga uzazi. Kadili ya wanaume hamsini walijitokeza kufajiwa upasuaji kubana mirija yao. Hupasuaji huchukua muda wa nusu saa. Hata hivyo kuna baadhi ya wanaume wanaokosoa shughuli Hii wakisema Hii ni ...

Conjoined twins -Kenya

Picha
Wataalamu katika hospitali kuu ya Kenyatta wamefanikiwa kuwatenganisha watoto mapacha walioshikamana kwenye sehemu ya mgongo. Hiyo jana hospitali Hiyo ilitoa picha za watoto hao wakionana ana kwa ana kwa mara ya Kwanza.  Ufanishi huu umetokea baada ya miaka miwili tangu kuzaliwa kwao. Hii ni mara ya Kwanza madaktari katika hospitali Hii kuibuka na  ushindi kama huu. Pia huu ni upasuaji wa kipekee kuwahi fanyika nchini Kenya. Ilichukua muda na mpangilio wa hali ya juu kukusanya kundi la madaktari wenye ustadi katika maswala tofauti ya kiafya. Watoto hawa walizaliwa na tatizo la kiafya ambalo kulitatua kwa haraka lingehatarisha maisha yao. Hâta hivyo, kulikuwa na matumaini kuwa mafanikio ya kuwatenganisha yangepatikana. Watoto Blessing na Favor walizaliwa miaka miwili iliyopita katika hospitali ya Mtakatifu Theresa,  Kiirua katika Jimbo la Meru. Baadaya ya madaktari kushindwa kutatua hali yao kutokana na ukosefu wa vifaa au mashine za kisasa, w...

Saratani ya tumbo

Aliyekuwa mtangazaji mashuhuli wa kituo change habari cha Royal Media Waweru Mburu ameaga dunia. Waweru amefariki baadaya ya kuugua saratani ya tumbo. Alitumika kwenye Radio Citizen kwa miaka zaidi ya kumi na tano, huku akiwa na umaarufu kufuatia kipindi chake cha yaliyotendeka. Kabla yakufa kwake hiyo jana jioni, Waweru alitangaza nia yake ya kuwania kiti cha kisiasa katika eneo la maragua, jimbo la Murang'a.  saratani ya  tumbo ni saratani inayotokea katika mfuko was chakula unaosiaga  na kutunza chakula kwa muda. Saratani hii hutokea  katika tezi za gastric gland. Kulingana  na takwimu za afya,saratani hii inatokea sana katika nchi za Japani na China Kinachosababisha saratani ya tumbo ? Wataalamu wa afya hawana uhakika nini husababisha saratani hii.Hata hivyo, Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya chakula kuchomwa, chenye chumvi nyingi au kilichohifadhiwa kwenye chumvi nyingi na saratani ya tumbo..  saratani ya tumbo  imepungua sana ha...

breastfeeding week

Picha
maziwa ya mama ndicho chanzo bora zaidi cha lishe kwa watoto wachanga,hata hivyo kuna badhi ya akina mama ambao hawapendi kamwe kuwanyonyesha watoto wao kwa sababu za kutaka kuhifadhi umbo la titi. Lakini mashirika ya kiafya yanaendelea kuwahimiza akina mama kuwanyonyesha watoto ili kuepuka maradhi na kumpa moto afya bora . Pia ni muhimu kwa   akina mama ili kuepuka maradhi kama vile saratani ya titi au maradhi mengine   kama vile msongo wa mawazo ambao hupata akina mama wengi baada ya kujifungia. Kulinga na utafiti wa WHO ambayo imetolewa kwa ajili ya wiki ya kunyonyesha duniani ,   ni nchi chache tu ambazo hutekeleza mfumo wa kimataifa, unaolenga kuzuia matangazo ya lishe mbadala kwa watoto. Akina mama ambao hufanya kazi hasa katika mashirika tofauti huwa na ungumu wa kupata muda wa kunyonyesha ,jambo ambalo huwachochea akina mama kununua na kuwapa watoto wao vyakula vya mikebe.  Isitoshe,maziwa ya mama ni muhimu zaidi kumj...

Tohara Kenya

Huku baadhi ya kabila nchini Kenya zikiendelea kupasha tohara wasichana,shirika la umoja wa mataifa limetaja kitendo hikikama dhuruma kwa watoto. Daktari Babatunde Osotimehin ambaye ni Mkurugenzi mkuu wa UNPF ametaja ukeketaji kama kitendo cha unyama na dhuruma kwa mtoto. Alisema kuna haja ya wadau kutafuta mikakati itakayo hakikisha unyama huu imekomeshwa katika sehemu au mataifa yanaoendelea kutekeleza uovu huu,hasabara la afrika abako takwimu zinaonyesha hali ni mbaya. Mataifa ya jamhuri za kiislamu,Afrika Mashariki,Magharibi na Kusini ni baadhi ya maeneo ambayo yangali yanakubatia mila na tamaduni potovu za ukeketaji. Alisema shirika lake linatafuta mikakati na sheria ya kuhakikisha swala hili limekomeshwa kabisa. Hii ni baada ya muda wa miaka ishirini ambapo mashirika ya kiserikali nay ale ya haki za kibinadamu yakikasifu tabia ya ukeketaji barani Afrika .

TB kenya

Kiwango kikubwa cha  watu wanaogua ugonjwa wa kifua kikuu wamekuwa  wakipatikana  na Virusi Vya Ukimwi.Aidha kuchangia vifo miongoni mwa waadhiriwa. Juhudi za kupambana na TB na maambukizi ya Ukimwi zinaendelea  barani Afrika hususan nchini Kenya. Hata hivyo, takwimu zinaonyesha kifua kikuu kama moja wapo wa magonjwa ambukizi yanayosababisha maafa nchini. Kesi za kifua kikuu zimeongezeka Zaidi ya mara tatu katika kipindi cha muongo mmoja uliopita. Mwaka wa 2015 Zaidi ya watu elfu kumi walifariki kutokana na makali ya TB. Jimbo la Pwani ya Kenya linaongoza kwa idadi ya maambukizi ya kufua kikuu huku Nairobi,Isiolo,Kisumu na Embu zikifuata. Vile vile,Majimbo ya Samburu,Tharaka,Turkana na Kirinyaga zina idadi ya azili mia 32 ya maambukizi. Kenya imekuwa mtari wa mbele kuuthibiti ugonjwa wa Tb lakini changamoto zikiwemo wagonjwa kukataa ktafuta matibabu au kukata kumeza dawa. ilibidi serikali kuweka mikakati madhubuti...

AIDS CONFERENCE DURBAN 2016

Picha
Kongamano la tano la kimataifa kuhusu ukimwi kuanza Afrika Kusini Kongamano kuhusu ukimwi liaanza   mjini Durban, Afrika Kusini. Mkutano huo wa siku tatu unawaleta pamoja wajumbe na wataalam kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni. Mkutano huo unafanyika wakati ambapo   selikali ya Kenya imejitahidi kukabiliana na makali yake.   Siku chake zilizopita, wizara ya afya Kenya, ilianzisha sera na kampeini ambayo itawasaidia wanaougua na   wanaofahamu hali yao ya HIV kupata tiba mara moja.Kampeini inayo ; anza sasa pia itawezesha watoto wanaozaliwa na virusi vya HIV kuanza matibabu mara moja.   Lakutia moyo ni kwamba   idadi ya maabukizi nchini Kenya imepungua,huku Afrika kusini hasa Durban ambapo mkutano huu unafanyika hali ikiwa sio nzuri.   Zaidi ya hayo,Utafiti unaonyesha   watu milioni 40 ulimwenguni walioambukizwa virusi vya ukimwi wanatokea barani Afrika.   Serikali ya kenya imetenga shilingi bilioni 22 kupambana na janga h...

homa ya mapafu(Pneumonia)

Picha
Pneumonia Homa ya mapavu ni ugonjwa ambao unaathiri mapafu na unaua watoto kwa wingi hasa katika nchi zinazoendelea duniani. Ugonjwa wa nimonia umetajwa kuwa ugonjwa hatari na unauwa kwa kasi sana,huku idadi ya maafa yakiongezeka kila siku. nchini Kenya. Ripoti ya wizara ya afya ,Kenya inasema kuwa idadi ya wanaofariki imeongezeka maradufu. Pia watoto wameathirika Zaidi,inakadiriwa kwamba watu karibu 21,640 walifariki mwaka wa  2013 huku idadi ikiongezeka hadi  22,473 mwaka uliopita wa 2015. Hii ni changamoto kwa sekta ya afya kwani kuna mbinu za kupunguza makali ya nimonia.  vifo hivi vinavyotokana na homa ya mapafu(nimonia) ,vinaripotiwa wakati madaktari na wauguzi wamekuwa wakifanya migomo kulalamikia mishahara duni na pia mazingira mabaya ya kufanyia kazi. Hii ni jambo ambalo si la kuchangamkiwa ,na ni sharti wizara ya afya itekeleze majikumu yake ipasavyo. Ni husuni kusuhudia maafa ya kila mara ,hasa kwa waz...

Malaria Kenya

Picha
Idadi ya wagonjwa wa   malaria yapungua Kenya Ugonjwa wa malaria umekuwa ni tisho katika maeneo yenye joto Afrika hususan nchini Kenya. Jambo la kutia moyo ni kwamba   iadadi ya watu wanaougua ugonjwa huu umepungua marudufu kwa miaka sita iliyopita. Kulingana na tafiti za wizara ya Afya hali hii inatokana na ongezeko la utumiaji viandarua na pia kupata matibabu mapema.Msemaji wa wizara ya afya Elisha Omondi anasema hatua za serikali za kuukabili ugonjwa wa malaria zimezaa matunda. Hata hivyo sehemu kama vile   jimbo la Siaya linaongoza kwa maambukizi hayo,lakini pia katika kipindi cha mwaka mmoja angalau asilimia 50 ya visa vimekabiliwa. Majimbo ya Pwani pia yameadhirika lakini hali sio mbaya kama siku za nyuma. Takwimu sinaonyesha kuwa Malaria iliwaua karibu watu nusu milioni duniani mwaka jana, huku vifo tisa juu ya kumi vikitoka kusini mwa Sahara. Kenya ni miongoni mwa mataifa ya kusini mwa Jangwa la Afrika ambapo Malaria imeandelea kuangamiza watu lak...

Mama Lucy KIbaki

Picha
Aliyekuwa mama wa taifa Aaga dunia Baada ya kifo chake aliyekuwa Mama wa taifa nchini Kenya,watu wa tabaka mbali mbali wameendelea kutakia familia yake afueni,huku wakimumiminia sifa kama mama wenye bidiina aliyewajali wasiojiweza. Juhudi zake za kuunda muungano wa akina mama wa marais afrika ili kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi ni mfano wa mama aliyewajali wengine. Pia alikuwa mstari wa mbele kuhakikisa maswala na afya ya uzazi imeimarishwa.Aliwatembelea wagonjwa hospitalini na aliyoyaona hasa mazingira mbaya wagonjwa waliokuwemo yalimtamausha. Alinena kwa hasira na kutaka hatua kali zichukuliwe kwa maafisa wa selikali wafisadi . Hospitali ya mama Lucy ilijengwa kwa heshima zake na wakaazi wa Embakazi wana sababu kushukuru kwa hayo."ukakamavu wake mama na bidii katika maswala la afya ilifanya sisi tupate hospitali karibu,tunafurahi sana,alisema Monica Wahito . John Kariuki anasema ,''hospitali ya mama Lucy imekuwa na sifa mbaya ya kutekelezwa kwa waogojwa ...

Josephine Nyambura aaga duniani cancer

Picha
Maoni Ugonjwa wa saratani waendelea kukusababisha maafa. Idadi ya wanaofariki kufuatia maradhi hayo yanaongezaka kila kuchao.  Ni hali ya kuhuzunisha kuona kuwa Wasio na uwezo wa kugharamia matibabu ndio wanaoadhirika zaidi.  Ni jukumu la serikali kutafuta mikakati ku ona kwamba watu wote wanapata matibabu bila vikwazo vyovyote. Huduma ya bima ya kitaifa inapashwa pia kusaidia wenye uwezo wa kulipa malipo ya kila mwezi na pia wasioweza.  Malkia Josephine Nyambura aaga duniani . Mtoto wa miaka nne ambaye hivi majuzi alikosa kupata matibabu ya ugonjwa wa saratani kufuatia matatizo ya kifedha yaliyoikuba familia yake aaga duniani.  Malkia Josephine Nyambura alinyimwa matibabu na madaktari nchini India na kwa kuwa hali yake ilikuwa hatarini wawazi   wake wakamrejesha nchini Kenya katika hospitali kuu ya Kenyatta ambayo pia Imekuwa na upungufu wa mashine za saratani.  Hali yake ilizorota baadaye huku mwili wake kufula. Saratani ya damu aliy...

ZIka Chanjo -Vaccine

Picha
Huku ugonjwa wa Zika ukiendelea   kuenea kwa kasi,kampuni ya   dawa ya ufaransa -Sanofi Pasteur iko katika harakati   na shughuli za kukomesha virusi vya Zika. Kwa sasa kuna mikakati ya kufanya utafiti wa chanjo kwa binadamu ili kuepuka adhari za ugonjwa wa Zika. Kulingana na Nicholas Jackson, ambaye anaongoza kundi la watafiti ,shabaha yao ni kuhakikisha wamepata tiba ya virusi vya Zika haraka iwezekanavyo. Ingawa utafiti wa chanjo huchukua muda- mrefu,miaka ishirini na zaidi- kundi hili lina matumaini   kuwa watafanya wawezalo kuhakikisha tiba imepatikana kwa muda mfupi. Zaidi ya hayo,Mtafiti Jackson,ananukuliwa akisema ,kampuni ya Sanofi Pasteur inaweza kutumia ufundi,vifaa na uzoefu vilivyotumia katika utafiti na utengenezaji wa chanjo ya virusi ya Dengue miaka kadha iliyopita,katika shughuli   za utafiti na chanjo ya virusi vya Zika. Kampuni hiyo ina umaarufu na pia   inaongoza duniani katika utafiti wa chanjoya virusi vya Homa ya Majano.C...
Picha
Masaibu ya wagonjwa katika hospitali ya Mama Lucy Kibaki Mama Lucy Kibaki hospitali iliyoko Embakasi imegonga vyombo vya habari kwa sababu za kuhuzunisha. Huduma duni za matibabu,ufisadi ni baadhi ya madai yanayotolewa na wagonjwa ambao wameadhirikakwa njia moja au nyingine. Visa vya wagonjwa kutohudumiwa ipasavyo na madai ya ukosefu wa vifaa vya matibabu vinahusunisha. Kisa cha kustajabisha ni kuwa madaktari walimwacha mama mja mzito bila kuhudumiwa kwa muda hadi wanawe mapacha kufia kwenye kizazi. Imedaiwa kuwa mtoto aliyekuwa na majeraha ya ajari aliruhusiwa kwenda nyumbani hata kabla ya uchunguzi wa kina kuhakikisha kuwa maisha yake hayakuwa hatarini Mamake mtoto anasema mwanawe aliaga dunia siku oja baada ya kwenda nyumbani. Baadaye daktari katika hospitali hiyo wakamfahamisha kuwa alivuja damu kwa ubongo,kwani alikuwa na majeraha jichoni. Hayo ni baadhi ya masaibu yanayowakuba wagonjwa kwenye Hospitali ambayo ni ya pili kwa ukubwa jijini Nairobi na ya ...