Alhamisi, 1 Desemba 2016
Aids vaccine
Leo ni siku ya Ukimwi Duniani.
Maadhimisho haya yanakuja wakati ufanisi kukabiliana na janga la Ukimwi ukichukua mwelekeo mwafaka.
Hii ni kufuatia tangazo kuwa Afrika Kusini inafanya majaribio chanjo mpya dhidi ya virusi vinavosababisha Ukimwi.
Endapo itapata mafanikio, chanjo Hii itawezesha waadhiriwa wa ugonjwa huu, kukabiliana na makali ya virusi (VVU).
Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii.
Wanasayansi matumaini majaribio hayo, yanayojulikana kama HVTN 702, yatazinduliwa kwa kuwatumia wanaume na wanawake 5,400 ambao wanaojamiiana kutoka maeneo 15 nchini Afrika Kusini.Wagonjwa watakaoshiriki katika chanson hiyo wanapashwa kuwa n'a umri wa kati ya miaka 18 na 35.
Hata hivyo kuna watu wanao sema kuwa chanson hii ina faida na hasara pia.
Itawasaidia wagonjwa wa Ukimwi huku wengine wakiamua kufanya ngono kihorera.
Pia Hii chanjo itakuwa na madhara kwa mwili kama vile;
Vipele , kizunguzungu na maumivu
Jumatatu, 28 Novemba 2016
TB
Tanzania imepiga hatua mbele, kwa kubuni mbinu ya kuukabili ugonjwa wa kifua kikuu, kwa kuzindua MAABARA jijini Dar es salaam. Mradi huu utakua chini ya usimamizi wa chuo kikuu cha Kilimo cha Sokoine.
Ubunifu huu utafanywa kwa kutumia panya buku kupima sampuli za ugonjwa wa kifua kikuu (TB).Inaaminika panya mmoja ana uwezo wa kupima sampuli Mia moja katika muda wa dakika ishirini.
Hatua hii imefanyika huku kukiwa na ongezeko la idadi ya wagonjwa wa kifua kikuu Tanzania.
Tanzania ni miongoni nchi barani Afrika zenye maambukizi ya juu ya ugonjwa huo na kutumia njia hii katika kupambana na ugonjwa huu itakuwa ni afueni.
Wataalamu wanasema kuwa njia ya hapo awali ilitoa uhakika wa sampuli kwa asilimia 20 hadi 60 huko asilimia 40 hawagunduliki na hivyo kuendelea kuambukiza wengine.
Daktari Georgies Mgode anasema mradi huo wa kupima vimelea vya kifua kikuu utakutumia panya waliofunzwa.
Dk.Mgode, ambaye pia ni meneja wa mradi huu, anafafanua kuwa panya hao wana uwezo wa kubaini harufu ya vimelea vya ugonjwa huo ndani ya sekunde.
Aidha, alisema mbinu hii itakuwa mwafaka kwa wagonjwa na watafiti pia. Ishitoshe, muda utapunguka. Hapo awali kupima sampuli 100 kwa maabara zinazotumia hadubini kulichukua muda wa sikuu nne.Lakini sasa mgonjwa atapata majibu ndani ya siku moja na kuanza tiba.
“Ni kweli hawa panya wana faida kubwa kwenye ugunduzi wa vimelea vya ugonjwa wa TB, kwa sababu wana uwezo ndani ya sekunde wakabaini maambukizi ya kwa mgonjwa wakati mtu wa maabara anatumia zaidi ya siku moja kupata majibu,” alieleza Dk Mgode.
Alisema maabara nyingine ya panya buku iko mjini Morogoro ambayo hutumika kupima sampuli mbalimbali kutoka hospitali 28 nchini. Tangu mradi huo uanze kazi mwaka 2008 zaidi ya sampuli 380,000 zimeshapimwa.
Mwakilishi kutoka Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Kifua Kikuu na Ukoma (NTLP), Dk Allan Tarimo alisema Tanzania ni moja ya nchi zenye maambukizi ya juu ya ugonjwa wa kifua kikuu barani Afrika ikiorodheshwa ya nne huku kimataifa ikiwa nafasi ya sita.
Hakika hii ni hatua kubwa ya kuokoa maisha ya wagonjwa na kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo ambao ni changamoto Tanzania.
Kinaya ni kuwa Shirika la Afya Duniani (WHO)) linasema, kwa siku moja mtaalamu wa maabara anatakiwa kupima wagonjwa 20 tu wa kifua kikuu.
Jumatano, 23 Novemba 2016
Vasectomy
Uzazi mpango
Huku maisha yakiwa magumu Barani Afrika hususan Kenya, kuna haja yakufanya uzazi mpango ili kuweza kukimu mahitaji ya kila siku.
Akina mama kwa muda mrefu ndiyo wenye majukumu ya kupanga uzazi Huku Akina baba wakijihuzisha n'a majukumu mengine.
Lakini mambo imechukua mwelekeo mpya Huku wanaume wakiamua kupanga uzazi pia.
Haya majukumu ni ya kila mmoja, n'a ni vema kushirikiana wake kwa waume.
Hii imepelekea wanaume kutafuta njia za kupanga uzazi.
Njia mojawapo ya hizo ni ile ya vasectomy; kufunga mirija unaotoa mbegu za kiume.
Hii ni njia ya kudumu ya kupanga uzazi.
Ni majuzi tu ambapo siku ya kuadhimisha uzazi mango wa vasectomy nchini Kenya n'a pia kote duniani.
Nchini ya Kenya ilichukua fursa Hii kuelimisha jamii umuhimu wa wanaume kupanga uzazi.
Kadili ya wanaume hamsini walijitokeza kufajiwa upasuaji kubana mirija yao.
Hupasuaji huchukua muda wa nusu saa.
Hata hivyo kuna baadhi ya wanaume wanaokosoa shughuli Hii wakisema Hii ni tabia ambapo haiabatani na destuli za kiafrika.
Wanasema haya ni mambo ya kizungu ambayo yanafaa kupakia na wazungu tu.
Wengine nao wanatoa maoni tofauti.
Wanaonelea ni vema kupanga uzazi wa vasectomy kwani unasaidia kupunguza majukumu, huku watoto wachache wakipata mahitaji yao bila shinda yeyote.
Wanasema ni vema wanaume kuwasaidia wake wao kupanga familia.
Uchumi umezorota, watoto na jamaa kwa jumla wana mahitaji mengi .Wasipopanga uzazi basi wazazi watakuwa wanawaacha watoto wao kuumia.
Jambo muhimu la kufahamu ni kuwa njia hii;
*Haipunguzi hamu ya kufanya ngono
*Haizuii maambukizi ya magonjwa ya zinaa.Hivyo basis ni vema kuchukua tahathali.
*Hali hii ni ya kudumu.Haitawezekana tena kupata watoto baada ya operesheni.
Huku maisha yakiwa magumu Barani Afrika hususan Kenya, kuna haja yakufanya uzazi mpango ili kuweza kukimu mahitaji ya kila siku.
Akina mama kwa muda mrefu ndiyo wenye majukumu ya kupanga uzazi Huku Akina baba wakijihuzisha n'a majukumu mengine.
Lakini mambo imechukua mwelekeo mpya Huku wanaume wakiamua kupanga uzazi pia.
Haya majukumu ni ya kila mmoja, n'a ni vema kushirikiana wake kwa waume.
Hii imepelekea wanaume kutafuta njia za kupanga uzazi.
Njia mojawapo ya hizo ni ile ya vasectomy; kufunga mirija unaotoa mbegu za kiume.
Hii ni njia ya kudumu ya kupanga uzazi.
Ni majuzi tu ambapo siku ya kuadhimisha uzazi mango wa vasectomy nchini Kenya n'a pia kote duniani.
Nchini ya Kenya ilichukua fursa Hii kuelimisha jamii umuhimu wa wanaume kupanga uzazi.
Kadili ya wanaume hamsini walijitokeza kufajiwa upasuaji kubana mirija yao.
Hupasuaji huchukua muda wa nusu saa.
Hata hivyo kuna baadhi ya wanaume wanaokosoa shughuli Hii wakisema Hii ni tabia ambapo haiabatani na destuli za kiafrika.
Wanasema haya ni mambo ya kizungu ambayo yanafaa kupakia na wazungu tu.
Wengine nao wanatoa maoni tofauti.
Wanaonelea ni vema kupanga uzazi wa vasectomy kwani unasaidia kupunguza majukumu, huku watoto wachache wakipata mahitaji yao bila shinda yeyote.
Wanasema ni vema wanaume kuwasaidia wake wao kupanga familia.
Uchumi umezorota, watoto na jamaa kwa jumla wana mahitaji mengi .Wasipopanga uzazi basi wazazi watakuwa wanawaacha watoto wao kuumia.
Jambo muhimu la kufahamu ni kuwa njia hii;
*Haipunguzi hamu ya kufanya ngono
*Haizuii maambukizi ya magonjwa ya zinaa.Hivyo basis ni vema kuchukua tahathali.
*Hali hii ni ya kudumu.Haitawezekana tena kupata watoto baada ya operesheni.
Jumatano, 16 Novemba 2016
Conjoined twins -Kenya
Wataalamu katika hospitali kuu ya Kenyatta wamefanikiwa kuwatenganisha watoto mapacha walioshikamana kwenye sehemu ya mgongo.
Hiyo jana hospitali Hiyo ilitoa picha za watoto hao wakionana ana kwa ana kwa mara ya Kwanza.
Ufanishi huu umetokea baada ya miaka miwili tangu kuzaliwa kwao.
Pia huu ni upasuaji wa kipekee kuwahi fanyika nchini Kenya.
Ilichukua muda na mpangilio wa hali ya juu kukusanya kundi la madaktari wenye ustadi katika maswala tofauti ya kiafya.
Watoto hawa walizaliwa na tatizo la kiafya ambalo kulitatua kwa haraka lingehatarisha maisha yao.
Hâta hivyo, kulikuwa na matumaini kuwa mafanikio ya kuwatenganisha yangepatikana.
Watoto Blessing na Favor walizaliwa miaka miwili iliyopita katika hospitali ya Mtakatifu Theresa, Kiirua katika Jimbo la Meru.
Baadaya ya madaktari kushindwa kutatua hali yao kutokana na ukosefu wa vifaa au mashine za kisasa, walitoa rufaa hadi Hospitali kuu ya Kenyatta, Nairobi.
Daktari aliyeongoza upashuaji huu ni mashuhuri nchini Kenya kwa matibabu ya watoto.
Daktari Fred Kabuni, alisema ilichukua Masaaki ishirini n'a moja kufanya upashuaji huu.
Madaktari wengine walohusika ni mashuhuri katika taaluma tofauti ya kiafya.
Wakenya walipongeza juhudi za wataalamu wa maswala tofauti ya kiafya waliojitolea kutekeleza shughuli hii ya kipekee.
Kathoni Kiama alisema"hii ni habari njema kwa Wakenya wote, kuona Kuwait madakari wetu wanawatenganisha watoto hawa.
Weru Kihiko anasema madakari wetu hongera kwenu."tunao madakari stadi lakini vifaa vya matibabu ni adimu.
Wafula David anasema madakari wetu wanajitolea lakini wanagoma kil a mara kutikana na mishahara duni. Ni heri selikali ingechukua hatua ya kuwalipa kulingana na kujitolea kuokoa maisha.
Ufanishi huu unatokea huku wizara ya afya ikidaiwa kuvuja mamilioni ya pesa kwenye kafsha ya ufisadi.
Daktari aliyeongoza upashuaji huu ni mashuhuri nchini Kenya kwa matibabu ya watoto.
Daktari Fred Kabuni, alisema ilichukua Masaaki ishirini n'a moja kufanya upashuaji huu.
Madaktari wengine walohusika ni mashuhuri katika taaluma tofauti ya kiafya.
Wakenya walipongeza juhudi za wataalamu wa maswala tofauti ya kiafya waliojitolea kutekeleza shughuli hii ya kipekee.
Kathoni Kiama alisema"hii ni habari njema kwa Wakenya wote, kuona Kuwait madakari wetu wanawatenganisha watoto hawa.
Weru Kihiko anasema madakari wetu hongera kwenu."tunao madakari stadi lakini vifaa vya matibabu ni adimu.
Wafula David anasema madakari wetu wanajitolea lakini wanagoma kil a mara kutikana na mishahara duni. Ni heri selikali ingechukua hatua ya kuwalipa kulingana na kujitolea kuokoa maisha.
Ufanishi huu unatokea huku wizara ya afya ikidaiwa kuvuja mamilioni ya pesa kwenye kafsha ya ufisadi.
Alhamisi, 29 Septemba 2016
Saratani ya tumbo
Aliyekuwa mtangazaji mashuhuli wa kituo change habari cha Royal Media Waweru Mburu ameaga dunia.
Waweru amefariki baadaya ya kuugua saratani ya tumbo.
Alitumika kwenye Radio Citizen kwa miaka zaidi ya kumi na tano, huku akiwa na umaarufu kufuatia kipindi chake cha yaliyotendeka.
Kabla yakufa kwake hiyo jana jioni, Waweru alitangaza nia yake ya kuwania kiti cha kisiasa katika eneo la maragua, jimbo la Murang'a.
saratani ya tumbo ni saratani inayotokea katika mfuko was chakula unaosiaga na kutunza chakula kwa muda. Saratani hii hutokea katika tezi za gastric gland.
Kulingana na takwimu za afya,saratani hii inatokea sana katika nchi za Japani na China
Kinachosababisha saratani ya tumbo?
Wataalamu wa afya hawana uhakika nini husababisha saratani hii.Hata hivyo, Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya chakula kuchomwa, chenye chumvi nyingi au kilichohifadhiwa kwenye chumvi nyingi na saratani ya tumbo..
saratani ya tumbo imepungua sana hasa sehemu ambapo matumizi ya friji inatumika kama njia ya kuhifadhi chakula.
Duniani na kwa kiasi kikubwa
Kinacho changia saratani ya tumbo-gastric cancer?
Chakula chenye chumvi nyingi
Maambukizi ya bakiteria aitwaye helicobacter pyroli
Michomo ya muda mrefu tumboni(inflammations
Uvutaji wa sigara
Uvimbe kwenye kuta za tumbo kitaalamu stomach polyps
Dalili -tumbo-Gastric cancer
Kuhisi chakula kimejaa tumboni
Kichefuchefu na kutapika
Kushindwa kula chakula
Kushiba baada ya kula kidogo
Kukosa hamu ya kula
Kinyesi cheusi au kuwa mweupe mikononi na chini ya kope kwa sababu ya upungufu wa damu
Kutapika damu
Kupungua uzito
Kuvimba tumbo aukupata uvimbe tumboni
Kuvimba mitoki san asana mitoki ya bega la kushoto na kwapani
Dalili za hatari
Kujaa maji kwenye mfuko unaofunika matumbo.
Kuziba kwa mshipa unaopitisha chakula kutoka kwenye tumbo na husababisha chakula kujaa tumboni
Kukonda sana kutokana na saratani au kukosa hamu ya kula
Ijumaa, 5 Agosti 2016
breastfeeding week
Lakini mashirika ya kiafya yanaendelea kuwahimiza akina mama
kuwanyonyesha watoto ili kuepuka maradhi na kumpa moto afya bora .
Pia ni muhimu kwa
akina mama ili kuepuka maradhi kama vile saratani ya titi au maradhi
mengine kama vile msongo wa mawazo ambao
hupata akina mama wengi baada ya kujifungia.
Kulinga na utafiti wa WHO ambayo imetolewa kwa ajili ya wiki
ya kunyonyesha duniani , ni nchi chache
tu ambazo hutekeleza mfumo wa kimataifa, unaolenga kuzuia matangazo ya lishe
mbadala kwa watoto.
Akina mama ambao hufanya kazi hasa katika mashirika tofauti
huwa na ungumu wa kupata muda wa kunyonyesha ,jambo ambalo huwachochea akina mama
kununua na kuwapa watoto wao vyakula vya mikebe.
Isitoshe,maziwa ya mama ni muhimu zaidi kumjenga motto kimwili
na pia kiakili.Hivyo basi ni vema kumnyonyesha mtoto kuliko kutengemea maziwa
ya mbadala.
Jinsi ya kunyonyesha
- Anza kunyonyesha baada ya saa moja ya kuzaa (unyonyeshaji wa mapema)
- Usimptie mtoto chochote isipokuwa maziwa ya mama kwa miezi sita ya kwanza (unyonyeshaji wa kipekee)
- Usimwage maziwa ya kwanza ya mama baada ya kuzaa, huwa na protini na kingamwili ambayo ni muhimu kwa mtoto mchanga. Unapaswa kumwambia mama amlishe nayo mtoto mchanga, kwa sababu ni ‘chanjo’ ya kwanza ambayo mtoto atapata.
- Keti kwa hali nzuri wakati unanyonyesha
- Hakikisha mtoto anapata vizuri matiti ya mama anaponyonya
- Hakikisha mtoto ananyonya vizuri
KAMPENI YA WHO itaendelea hadi tarehe saba Augusti kwa
malengo ya kuwaelimisha akina mama umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto.
Alhamisi, 21 Julai 2016
Tohara Kenya
Huku baadhi
ya kabila nchini Kenya zikiendelea kupasha tohara wasichana,shirika la umoja wa
mataifa limetaja kitendo hikikama dhuruma kwa watoto.
Daktari
Babatunde Osotimehin ambaye ni Mkurugenzi mkuu wa UNPF ametaja ukeketaji kama kitendo
cha unyama na dhuruma kwa mtoto.
Alisema kuna
haja ya wadau kutafuta mikakati itakayo hakikisha unyama huu imekomeshwa katika
sehemu au mataifa yanaoendelea kutekeleza uovu huu,hasabara la afrika abako
takwimu zinaonyesha hali ni mbaya.
Mataifa ya
jamhuri za kiislamu,Afrika Mashariki,Magharibi na Kusini ni baadhi ya maeneo
ambayo yangali yanakubatia mila na tamaduni potovu za ukeketaji.
Alisema shirika
lake linatafuta mikakati na sheria ya kuhakikisha swala hili limekomeshwa
kabisa.
Hii ni baada
ya muda wa miaka ishirini ambapo mashirika ya kiserikali nay ale ya haki za
kibinadamu yakikasifu tabia ya ukeketaji barani Afrika .
TB kenya
Kiwango kikubwa cha watu wanaogua ugonjwa wa kifua kikuu wamekuwa wakipatikana na Virusi Vya Ukimwi.Aidha kuchangia vifo miongoni mwa waadhiriwa.
Juhudi za kupambana na TB na maambukizi ya Ukimwi zinaendelea barani Afrika hususan nchini Kenya.
Hata hivyo, takwimu zinaonyesha kifua kikuu kama moja wapo wa magonjwa ambukizi yanayosababisha maafa nchini. Kesi za kifua kikuu zimeongezeka Zaidi ya mara tatu katika kipindi cha muongo mmoja uliopita.
Mwaka wa 2015 Zaidi ya watu elfu kumi walifariki kutokana na makali ya TB.
Jimbo la Pwani ya Kenya linaongoza kwa idadi ya maambukizi ya kufua kikuu huku Nairobi,Isiolo,Kisumu na Embu zikifuata.
Vile vile,Majimbo ya Samburu,Tharaka,Turkana na Kirinyaga zina idadi ya azili mia 32 ya maambukizi.
Kenya imekuwa mtari wa mbele kuuthibiti ugonjwa wa Tb lakini changamoto zikiwemo wagonjwa kukataa ktafuta matibabu au kukata kumeza dawa.
ilibidi serikali kuweka mikakati madhubuti kuhakikisha kwa hatua za kisheria zinachukuliwa kwa wanaokataa kumeza dawa.
Hata hivyo kutiwa nguvuni waliokiuka maagizo ya daktari yalikosolewa na wanaharakati wa haki za binadamu.
Hiyo pia ni changamoto kwani sheria au sera za afya na wagonjwa pia sharti kiundwe na kulindwa.
Uganda,Tanzania na Zimbabwe bado zimeonekana kushindwa kukambiliana na tishio la TB
Hivi majuzi,serikali ya Kenya ilizidua mradi: mulika TB,Maliza TB kama moja wapo wa juhudi za kutokomesha ugonjwa huu nchini.
Jumatatu, 18 Julai 2016
AIDS CONFERENCE DURBAN 2016
Kongamano la tano la kimataifa kuhusu ukimwi kuanza Afrika Kusini
Kongamano kuhusu ukimwi liaanza mjini Durban, Afrika Kusini. Mkutano huo wa siku tatu unawaleta pamoja wajumbe na wataalam kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni. Mkutano huo unafanyika wakati ambapo selikali ya Kenya imejitahidi kukabiliana na makali yake.
Siku chake zilizopita, wizara ya afya Kenya, ilianzisha sera na kampeini ambayo itawasaidia wanaougua na wanaofahamu hali yao ya HIV kupata tiba mara moja.Kampeini inayo ;anza sasa pia itawezesha watoto wanaozaliwa na virusi vya HIV kuanza matibabu mara moja.

Lakutia moyo ni kwamba idadi ya maabukizi nchini Kenya imepungua,huku Afrika kusini hasa Durban ambapo mkutano huu unafanyika hali ikiwa sio nzuri.
Zaidi ya hayo,Utafiti unaonyesha watu milioni 40 ulimwenguni walioambukizwa virusi vya ukimwi wanatokea barani Afrika.
Serikali ya kenya imetenga shilingi bilioni 22 kupambana na janga hili la Ukimwi huku shilingi 15,000 zikitengwa kwa kila mgonjwa ili kumwezesha kupata dawa za ARV.
Hii ni binu mwafaka kwani hali ya kimaisha kwa waadhirirwa itaimarika maradhufu.
Hivyo basi,itakuwa ni jambo la kutia moyo baada ya mkutano wa Capetown kukamilika.
Kongamano kuhusu ukimwi liaanza mjini Durban, Afrika Kusini. Mkutano huo wa siku tatu unawaleta pamoja wajumbe na wataalam kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni. Mkutano huo unafanyika wakati ambapo selikali ya Kenya imejitahidi kukabiliana na makali yake.
Lengo kuu la mkutano wa Durban ni kutathmni tafiti za kisayansi kuhusu matibabu, dawa na kuzuia kuenea kwa maambukizi ya ukimwi.
Mbali na huduma nzuri zinazotolewa na mataita mengi ili kudhibiti ukimwi,Changamoto ya bado zipo. Unyanyapaa miongoni mwa wagonjwa wengi wa ukimwi, Majibu yanapobainisha wana virusi vya ukimwi; hawajui wafanye nini au waanza vipi kutumbia tembe.Hivyo basi,itakuwa ni jambo la kutia moyo baada ya mkutano wa Capetown kukamilika.
Wataalam na watafiti wa maswala ya afya , mchango wao utazaa matunda katika kuboresha huduma za matibabu na kupata mbinu ya watu wanaoishi na virusi vya HIV na wagonjwa wa ukimwi bila kutengwa.
Kongamano hilo ambali, hufanyika kila baada ya miaka miwili na huwavutia wajumbe takriban 5,000 kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni kote. Wanasayansi, madaktari, watalaam wa afya ya umma na viongozi wa kijamii ni pamoja na wanaohudhuria kongamano hili.
Kongamano la awali lililofanyika Australialilikubwa na husuni na kilio baada ya watafiti wa ukimwi kufariki katika ajali ya ndege.
Jumanne, 10 Mei 2016
homa ya mapafu(Pneumonia)
Pneumonia
Homa ya mapavu ni ugonjwa ambao unaathiri mapafu na unaua watoto kwa wingi hasa katika nchi zinazoendelea duniani.
Ripoti ya wizara ya afya ,Kenya inasema kuwa idadi ya wanaofariki imeongezeka maradufu.
Pia watoto wameathirika Zaidi,inakadiriwa kwamba watu karibu 21,640 walifariki mwaka wa 2013 huku idadi ikiongezeka hadi 22,473 mwaka uliopita wa 2015.
Hii ni changamoto kwa sekta ya afya kwani kuna mbinu za kupunguza makali ya nimonia.
vifo hivi vinavyotokana na homa ya mapafu(nimonia) ,vinaripotiwa wakati madaktari na wauguzi wamekuwa wakifanya migomo kulalamikia mishahara duni na pia mazingira mabaya ya kufanyia kazi.
Hii ni jambo ambalo si la kuchangamkiwa ,na ni sharti wizara ya afya itekeleze majikumu yake ipasavyo.
Ni husuni kusuhudia maafa ya kila mara ,hasa kwa wazazi katika sehemu za majimbo ambako hali ni mbaya Zaidi.
mwezi uliopita,jimbo la Nakuru lilikuwa na idadi kuwa ya maabukuzi na maafa ya ugonjwa huu.
kwenye kaunti ya Nakuru , watoto takriban 20 waliaga
dunia kutokana na ugonjwa wa Pneumonia katika kipindi cha mwezi mmoja.
Waziri wa afya kwenye kaunti
hiyo Mungai Kabii alisema kesi zingine 117 ziripotiwa kwenye vituo vya afya
kadhaa kwenye eneo hilo na pia kwenye kaunti zingine jirani.
Kufuatia mkurupuko huu, sampuli ya damu kutoka kwa walioathiriwa
zimetumwa kwenye maabara za shirika la KEMRI ili zifanyiwe utafiti huku wauguzi
wakitafuta namna na mbinu za kuudhibiti,
Alisema watoto wenye umri wa kati ya siku moja na miezi kumi na moja
ndio wako katika hatari ya kukumbwa na ugonjwa.
Dalili za nimonia
Joto
kupanda, kutokwa na jasho unyonge wa mwili pamoja na kukohoa,homa,kuhisi baridi,kutoa sauti isiyo ya kawaida wakati wa kupumua,kushindwa kunyonya na kula,mtoto kubadilika rangi ya bluu midomo,kuumwa na tumbo na kutocheza.
Aina ya vimelea kama vile bakteria,virusi,parasite na fangasi.
Homa ya mapafu inaweza kuzuiwa kwa chanjo, lishe bora na pia mtoto kuishi katika mazingira yenye hewa safi.
Kuhimiza usafi katika makazi kama kutotumia jiko la mkaa au kuni ndani ya nyumba na uvutaji wa sigara .
Jumatano, 27 Aprili 2016
Malaria Kenya
Idadi ya wagonjwa wa malaria yapungua Kenya
Ugonjwa wa malaria umekuwa ni tisho katika
maeneo yenye joto Afrika hususan nchini Kenya.
Kulingana na tafiti za wizara ya Afya hali hii inatokana na ongezeko la utumiaji viandarua na pia kupata matibabu mapema.Msemaji wa wizara ya afya Elisha Omondi anasema hatua za serikali za kuukabili ugonjwa wa malaria zimezaa matunda.
Hata hivyo sehemu kama vile jimbo la Siaya linaongoza kwa maambukizi
hayo,lakini pia katika kipindi cha mwaka mmoja angalau asilimia 50 ya visa
vimekabiliwa.
Majimbo ya Pwani pia yameadhirika lakini hali
sio mbaya kama siku za nyuma.
Takwimu sinaonyesha kuwa Malaria iliwaua karibu watu nusu milioni
duniani mwaka jana, huku vifo tisa juu ya kumi vikitoka kusini mwa Sahara.
Kenya ni miongoni mwa mataifa ya kusini mwa Jangwa la Afrika ambapo
Malaria imeandelea kuangamiza watu lakini hali hii imeimarika kwa asili mia nane ikilinganishwa na hali
ilivyokua miaka sita iliyopita.
Isistoshe, wanawake waja wazito na watoto wako hatarini zaidi na
wanatakikana wanapokea matibabu punde
zinapojitokeza dalili za ugonjwa kwani.
Mama Lucy KIbaki
Aliyekuwa mama wa taifa Aaga dunia
Baada ya kifo chake aliyekuwa Mama wa taifa nchini Kenya,watu wa tabaka mbali mbali wameendelea kutakia familia yake afueni,huku wakimumiminia sifa kama mama wenye bidiina aliyewajali wasiojiweza.
Juhudi zake za kuunda muungano wa akina mama wa marais afrika ili kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi ni mfano wa mama aliyewajali wengine.
Pia alikuwa mstari wa mbele kuhakikisa maswala na afya ya uzazi imeimarishwa.Aliwatembelea wagonjwa hospitalini na aliyoyaona hasa mazingira mbaya wagonjwa waliokuwemo yalimtamausha.
Alinena kwa hasira na kutaka hatua kali zichukuliwe kwa maafisa wa selikali wafisadi .
Hospitali ya mama Lucy ilijengwa kwa heshima zake na wakaazi wa Embakazi wana sababu kushukuru kwa hayo."ukakamavu wake mama na bidii katika maswala la afya ilifanya sisi tupate hospitali karibu,tunafurahi sana,alisema Monica Wahito .
John Kariuki anasema ,''hospitali ya mama Lucy imekuwa na sifa mbaya ya kutekelezwa kwa waogojwa na jambo hili ni sharti libadilike kwa heshima ya mama Lucy Kibaki.
Alifanya mambo mengi ambayo tutamkumbuka.
Haijabainika alikokuwa akiugua .Kwa muda mrefu wakenya wamekuwa wakitaka kujua hatima yake ,kwani ajaoneka kwa miaka karibu sita.
Mama Lucy amekuwa akiuguakwa muda .Alilazwa katika hospitali moja hapa nchini Kenya hadi alipohamishwa jijini London kwa matibabu ya dharura hadi kufariki kwake hapo jana.
Mola ailaze roho yake mahali pema peponi.
Baada ya kifo chake aliyekuwa Mama wa taifa nchini Kenya,watu wa tabaka mbali mbali wameendelea kutakia familia yake afueni,huku wakimumiminia sifa kama mama wenye bidiina aliyewajali wasiojiweza.
Juhudi zake za kuunda muungano wa akina mama wa marais afrika ili kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi ni mfano wa mama aliyewajali wengine.
Pia alikuwa mstari wa mbele kuhakikisa maswala na afya ya uzazi imeimarishwa.Aliwatembelea wagonjwa hospitalini na aliyoyaona hasa mazingira mbaya wagonjwa waliokuwemo yalimtamausha.
Alinena kwa hasira na kutaka hatua kali zichukuliwe kwa maafisa wa selikali wafisadi .
Hospitali ya mama Lucy ilijengwa kwa heshima zake na wakaazi wa Embakazi wana sababu kushukuru kwa hayo."ukakamavu wake mama na bidii katika maswala la afya ilifanya sisi tupate hospitali karibu,tunafurahi sana,alisema Monica Wahito .
John Kariuki anasema ,''hospitali ya mama Lucy imekuwa na sifa mbaya ya kutekelezwa kwa waogojwa na jambo hili ni sharti libadilike kwa heshima ya mama Lucy Kibaki.
Alifanya mambo mengi ambayo tutamkumbuka.
Haijabainika alikokuwa akiugua .Kwa muda mrefu wakenya wamekuwa wakitaka kujua hatima yake ,kwani ajaoneka kwa miaka karibu sita.
Mama Lucy amekuwa akiuguakwa muda .Alilazwa katika hospitali moja hapa nchini Kenya hadi alipohamishwa jijini London kwa matibabu ya dharura hadi kufariki kwake hapo jana.
Mola ailaze roho yake mahali pema peponi.
Jumanne, 8 Machi 2016
Josephine Nyambura aaga duniani cancer
Maoni
Ugonjwa wa saratani waendelea kukusababisha maafa.
Idadi ya wanaofariki kufuatia maradhi hayo yanaongezaka kila kuchao.
Ni hali ya kuhuzunisha kuona kuwa Wasio na uwezo wa kugharamia matibabu ndio wanaoadhirika zaidi.
Ni jukumu la serikali kutafuta mikakati ku
ona kwamba watu wote wanapata matibabu bila vikwazo vyovyote.
Huduma ya bima ya kitaifa inapashwa pia kusaidia wenye uwezo wa kulipa malipo ya kila mwezi na pia wasioweza.
Malkia Josephine Nyambura aaga duniani.
Mtoto wa miaka nne ambaye hivi majuzi alikosa kupata matibabu ya ugonjwa wa saratani kufuatia matatizo ya kifedha yaliyoikuba familia yake aaga duniani.
Malkia Josephine Nyambura alinyimwa matibabu na madaktari nchini India na kwa kuwa hali yake ilikuwa hatarini wawazi wake wakamrejesha nchini Kenya katika hospitali kuu ya Kenyatta ambayo pia Imekuwa na upungufu wa mashine za saratani.
Hali yake ilizorota baadaye huku mwili wake kufula.
Saratani ya damu aliyokuwa akiugua mtoto inaweza tibia kwa asilimia 70 hasa nchini India , kutoka na vifaa vya kiteknologia vinavyotimiwa, ikilinganishwa na hapa nchini Kenya.
Gharama ya matibabu ya saratani ni ghali mno na kwa familia hii kwa upendo wa mwanao waliuza mali yao yote ili mtoto wao apate matibabu , lakini hata baada ya hayo yote.
Gharama iliendelea kuwa kikwazo hadi wakalazimika kukatiza matibabu huko India.
Kabla ya kufarikiyule,Malkia b alimhakikishia babake kuwa hatafarki kama njia moja ya kuwaongezea matumaini wakazi wake walioonekana kuhuzuniswa na hali yake.
Jambo la kutamausha ni kuwa hata baada ya habari za mtoto Malkia Nyambura kuangaziwa na vyombo vya habari hatua za kutafuta pesa za matibabu hazikufua dafu.
Imekuwa ni safarini yenye Milima na mabonde kwa mtoto na wazaziwe .
Mola awape amani familia yake Malkia na wengine wanapitia hali hii ngumu.
Malkia lala salama.
Ijumaa, 4 Machi 2016
ZIka Chanjo -Vaccine
Huku ugonjwa wa Zika ukiendelea kuenea kwa kasi,kampuni ya dawa ya ufaransa -Sanofi Pasteur iko katika
harakati na shughuli za kukomesha virusi
vya Zika.
Kwa sasa kuna mikakati ya kufanya utafiti wa chanjo kwa binadamu ili
kuepuka adhari za ugonjwa wa Zika.Ingawa utafiti wa chanjo huchukua muda- mrefu,miaka ishirini na zaidi- kundi hili lina matumaini kuwa watafanya wawezalo kuhakikisha tiba imepatikana kwa muda mfupi.
Zaidi ya hayo,Mtafiti Jackson,ananukuliwa akisema ,kampuni ya Sanofi Pasteur inaweza kutumia ufundi,vifaa na uzoefu vilivyotumia katika utafiti na utengenezaji wa chanjo ya virusi ya Dengue miaka kadha iliyopita,katika shughuli za utafiti na chanjo ya virusi vya Zika.
Kampuni hiyo ina umaarufu na pia inaongoza duniani katika utafiti wa chanjoya virusi vya Homa ya Majano.Chanjo yake ilipata kibali cha kutumiwa katika nchi za Brazil,Mexico na ufilipino.
Sanofi imechukua hatua ambayo tayari kampuni zingine za dawa kama vile; Bharat
Biotech ya India, Inovio naTaasisi ya afya ya kitaifa ya Marekani( U.S. National Institutes of Health) -kampuni za
marekani zimezindua utafiti wa tiba ya Zika.
Jaribioya chanjo hiyo kwa
binadamu henda ikawa mwaka ujao,ikiwa mikakati iliowekwa itafikiwa bila shida
yeyote.
Haijabainika hakika ikiwa virusi vya Zika vinasababisha motto kzaliwa na
kichwa kidogo ,lakini kuna uhusiana wa kuabatanisha hali hiyo na virusi hivyo.
Shirika la Afya Duniani(WHO) linakisia kuna idadi ya 15 kampuni na
wasomi ambao kwa sasa wanatafiti tiba ya Zika.
Jumatatu, 15 Februari 2016
Masaibu ya wagonjwa katika
hospitali ya Mama Lucy Kibaki
Mama Lucy Kibaki hospitali
iliyoko Embakasi imegonga vyombo vya habari kwa sababu za kuhuzunisha.
Visa vya wagonjwa kutohudumiwa
ipasavyo na madai ya ukosefu wa vifaa vya matibabu vinahusunisha.
Kisa cha kustajabisha ni kuwa
madaktari walimwacha mama mja mzito bila kuhudumiwa kwa muda hadi wanawe mapacha
kufia kwenye kizazi.
Imedaiwa kuwa mtoto aliyekuwa na
majeraha ya ajari aliruhusiwa kwenda nyumbani hata kabla ya uchunguzi wa kina
kuhakikisha kuwa maisha yake hayakuwa hatarini
Mamake mtoto anasema mwanawe
aliaga dunia siku oja baada ya kwenda nyumbani.
Baadaye daktari katika hospitali
hiyo wakamfahamisha kuwa alivuja damu kwa ubongo,kwani alikuwa na majeraha
jichoni.
Hayo ni baadhi ya masaibu
yanayowakuba wagonjwa kwenye Hospitali ambayo ni ya pili kwa ukubwa jijini
Nairobi na ya tatu nchini.
Madhumuni ya kuanzisha hospitali
hii ilikuwa kupunguza idadi kubwa ya wagonjwa katika hospitali kuu ya Kenyatta
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)